Nataka niione Brazil isiyo na Neymar ikicheza mchezo muhimu...
Inabidi wakaze kweli maana Venezeula wagumu sana...
kila timu itahitaji kushinda kujihakikishia kupita. zitakuwa mechi kali sana.Yaaani acha tu hili kundi limekuwa tamuje!!! leo hata sikutaka kucheki game maana nilijua wazi Peru hatakubal kuwa kilaza..........acha tu si kukaza hata kuminya kabisa.....lol....
76' Ecu 2 - 1 Mex
Mexico kafa leo na ndio mwisho wa safari yake...
4' Chile 1- 0 Bolivia
Hii game Chile anashinda...