Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Na leo wakifungwa na Neymar tayari ana yellow mbili hivyo mechi ijayo hachezi wanaweza kabisa wakayaaga mashindano katika hatua ya mwanzo kabisa. Wamekosa goli la wazi kabisa.

Naona kama vile Brasil bado hawaja recover toka kwenye mkong'oto wa mkoloni.....
 
Niliwahi kuandika katika ule uzi wetu kwamba mafanikio ya Gunners mwaka huu pia yamechangiwa sana na maamuzi ya Wenger kumuweka golini Ospina badala ya yule mwenye kiherehere, kiherehere ambacho mara nyingi kimesababisha magoli ya kijinga. Kama utakumbuka tangu alipowekwa golini tulipoteza mechi chache sana labda mbili au tatu tu.

BAK mbona Ospina huku kawa mtamu hivyo?......
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh! This time the tune will change to the wrong one when it comes to Falcao's registration lol! time will tell.

he should first show us the best of coudrado, b4 showing the best of el tigre, coudrado fiorentina he was their superstar where is he now?
coudrado + falcao will be the best partnership on the bench ever, hahahaaa
 
Niliwahi kuandika katika ule uzi wetu kwamba mafanikio ya Gunners mwaka huu pia yamechangiwa sana na maamuzi ya Wenger kumuweka golini Ospina badala ya yule mwenye kiherehere, kiherehere ambacho mara nyingi kimesababisha magoli ya kijinga. Kama utakumbuka tangu alipowekwa golini tulipoteza mechi chache sana labda mbili au tatu tu.

Ni kweli Ospina jembe sana...... Hapa babu alifanya bonge la usajili....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ospina mzuri sana...

Makipa wa kilatino (Navas, Bravi, Ospina na yule kipa wa Mexico) wakijuza sana wakati wa world cup iliyopita...

Nasikia LVG anamtaka Navas lakini wengi wanapinga wanasema hatufai.......
 
15 minutes to go Colombia 1 Brazil 0
 
LvG hata haeleweki anamtaka nani kama De Gea akiondoka...

Hadi sasa nishasikia majina kama 6 ya makipa...

tunamhukumu bure van gaal wa watu, hajawah kusema kuwa yupo interested na mchezaji flani, isipokua media zikiona mchezaji flani ka shine basi van gaal anamtaka 7bu alishasema kuwa atasajili wachezaji
 
Yaani kwenye hizi game za Copa America full udava yaani hakuna game imeisha bila wachezaji kupandishiana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom