Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

dah connection ilinifanya sio ndio maana hukuniona, naona Dani Alves ali-dive nayo. Jamaa jana wamezingua sijaona, ila tuangalie mbele. Venezuela lazima aumie.

Pole sana jana nilitamani nikutanie lakini duh! Nikaona linanigusa hata mimi...........jana Colombia waliwakamata kabisa Brazil Haya maombi yangu Yale Yale fainaly iwe Brazil na Argentina.........ila Chile nao wanakuja kasi kwelikweli.....
 
Pole sana jana nilitamani nikutanie lakini duh! Nikaona linanigusa hata mimi...........jana Colombia waliwakamata kabisa Brazil Haya maombi yangu Yale Yale fainaly iwe Brazil na Argentina.........ila Chile nao wanakuja kasi kwelikweli.....

Hahaha, ungejitania tu na wewe pia. Hapa ili jamaa wakutane final, inabidi wamalize katika nafasi moja kwenye groups zao, otherwise watakutana hatua ya kwanza ya mtoano.
 
Group C limekuwa tamu sana...

Kama jana nilivyotamani Peru ampige Venezuela ndio imetokea...

Game za mwisho za hili kundi zitakuwa hatari tu especially game ya Brazil vs Venezuela
 
Group C limekuwa tamu sana...

Kama jana nilivyotamani Peru ampige Venezuela ndio imetokea...

Game za mwisho za hili kundi zitakuwa hatari tu especially game ya Brazil vs Venezuela

Hizi game zote sasa itabidi zichezwe muda mmoja, Brazil wanajua wana deni kwa mashabiki na ulimwengu wa soka kwa ujumla, so najua watakaza kadri ya uwezo wao.
 
Yani hilo kundi na usishangae wakatoka draw wote
 
CH0_fbPUkAAcEp9.jpg
 
Dunga: "Brazil must know how to play without Neymar. We must overcome Venezuela. We played without him versus Mexico"
 
Group C limekuwa tamu sana...

Kama jana nilivyotamani Peru ampige Venezuela ndio imetokea...

Game za mwisho za hili kundi zitakuwa hatari tu especially game ya Brazil vs Venezuela

Yaaani acha tu hili kundi limekuwa tamuje!!! leo hata sikutaka kucheki game maana nilijua wazi Peru hatakubal kuwa kilaza..........acha tu si kukaza hata kuminya kabisa.....lol....
 
Back
Top Bottom