Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Mhhhh! Colombia 1 Brazil 0
 
Sidhani...

Hii ndio timu inayojua namna ya kuwatungua Brazil...

Yaani ndo nashangaa hapa hata kucoment nashindwa leo Colombia anacheza vizuri sana,leo garasa(coz anakwenda CFC) letu Falcao na lenyewe linaonyesha makali.....
 
Hawa Columbia wanacheza kwa fujo kweli. Wanatuongezea machungu tena
 
Back
Top Bottom