Mkuu hakuna aja ya kufatilia mshindi wa tatu kwa sub hizi za kumuingiza Faridi Musa,usishangae kuona mke wa Polsen nae akipata nafasi ya kucheza kwenye mechi hiyo!si kuna kutafuta mshindi wa 3 mkuu?
Naam mkuu ni keshokutwa...
full time tz 0 - 1 ke
Mkuu hakuna aja ya
kufatilia mshindi wa tatu kwa sub hizi za kumuingiza Faridi
Musa,usishangae kuona mke wa Polsen nae akipata nafasi ya kucheza kwenye
mechi hiyo!
kelele zilikuwa nyingi mara hooo jamaa walikuwa wanataka tucheze uwanja mbovu haya sasa huo wenye unafuu mbona tumefungwa. Huyo ivo mapunda kwanin hakuzuia hilo goli maana siku ile kutoa tu kapenati kelele zilikua kibao
si useme tu kama angedaka kaseja msingefungwa!