Wamepata gori la nne lakin offsideWashamtandika mtu 3
Bonge moja la comebackOffside
Nawe pia huku niliko naona mwaka umeanza kinyonge kitaa hakujachangamkaHappy New Year Mkuu!!
Hata MOROCCO,CAMEROON,SENEGAL, Kuja kufanya comeback kama hyo yesu auakuwa karudiYaani sisi Tanzania kuja kufanya comeback kama ya Ivory Coast kwenye Afcon yesu atakua amerudi then ameenda na kurudi tena.