Japo bana ile mechi ya mapema ilinikosha mno Mtani.
Pole Mkuu.Nimeumia sana walaqhi 😭😭😭😭😭😭😭😭
Nasikia watu wameenda kama hawaendi ila ndo wameenda hivo!!!
Tunawaombea Senegal kila la kheri wakatunyooshee Moroco rafiki!Japo bana ile mechi ya mapema ilinikosha mno Mtani.
Ila Senegal ni maji marefu aiseee. Yaani Dakika karibia zote Mafarao hawana shots hata moja. Lol.
Salah alitamani ardhi ipasuke 😃😃 halafu alikuwa anakabwa na dogo tu. Kale ka Diouf.
ApprovedMorocco anachukua Ndoo hii
Senegal wajipangeTunawaombea Senegal kila la kheri wakatunyooshee Moroco rafiki!
Yeah Moroco nao watajipanga kama walivosimikia Nigeria!Senegal wajipange
Kabisa yaani rafiki.Tunawaombea Senegal kila la kheri wakatunyooshee Moroco rafiki!
Leo Mafarao wako na Nigeria kutafuta mshindi wa Tatu!!Japo bana ile mechi ya mapema ilinikosha mno Mtani.
Ila Senegal ni maji marefu aiseee. Yaani Dakika karibia zote Mafarao hawana shots hata moja. Lol.
Salah alitamani ardhi ipasuke 😃😃 halafu alikuwa anakabwa na dogo tu. Kale ka Diouf.