SURA SIO SOHO
Member
- May 18, 2011
- 43
- 10
Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.
My quote. Kuna haja ya kuwa na bodi kama hii
My quote. Kuna haja ya kuwa na bodi kama hii