Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,889
Mi naona mwanamke mhasibu ndio atanivusha aisee😅Yaani hapo nishapiga hadi hesabu ya mwezi mzima kuhusu hiyo net pay 300k😀🙌 usifanye masihara na pesa ujue😂
Mi naona mwanamke mhasibu ndio atanivusha aisee😅Yaani hapo nishapiga hadi hesabu ya mwezi mzima kuhusu hiyo net pay 300k😀🙌 usifanye masihara na pesa ujue😂
Aah tumezidi ubahili bana; humo ndani itakua hamna kula vizuri,mnawaza mipango mingi isiyoeleweka 🤪Mi naona mwanamke mhasibu ndio atanivusha aisee😅
Hahaha im a good spender hela ikiwepo, ubahili kwangu na kujitesa its a big no! 😅😅😅 Ndio maana nataka mhasibu wa kunipigia brekiAah tumezidi ubahili bana; humo ndani itakua hamna kula vizuri,mnawaza mipango mingi isiyoeleweka 🤪
Kwani lzm utuseme wa kwea nguzo jmn ..sasa apo kosa letu niniA man who doesn't look good, smell good, who doesn't make me want to make a snack of him is a total waste of time.
Yaani unakuta mwanamme hatembei vizuriiii, mchafu minywele kama msukule, kucha kama alien jamani, viatu vichafu halafu vimechongoka kama wale mafundi wa Tanesco wa kukwea nguzo.
Hapo pa kutembea mwanamme anatakiwa atembee vizuri jamani mpaka ujiambie yes. Kidume kile yaliyomo yamo.
Mwanamme lazima apeleke mawazo kwingine mpaka ukijistukia unabaki unaona aibu mwenyewe tu. Lol
Gay's ❎Hapo nishakufahamu tyar maana mm napenda sana kuvaa culture mikononi only .Kwa yake mabangili yanavaliwaga na bad gay's
Hamtaki waumini wapya?Kwanini umeuliza?
Pia wa makoti ya vitenge na wanaosali sana hamuwataki, sasa sijui mnataka nini?Hatutaki swaga
Kabichi ni mboga mzuri sana, kiukwel mimi nalielewa sana, hata juise yake nimekunywa sana.Aah vitoto vya siku hizi ukimpa kabichi sijui hata kama wanalijua! wenzao tulinyooka, likianza kukatwa katwa tu unajua kumekuchaaa
Wengine nywele kichwani vuruvuru kitimtim kimetimuka kweli kweli, mnaita kwenda na fasheni.. ama nywele zimesimama kama mahindi kichwani..
Wenyewe mnaita swaga.
Wanaume wachafuwachafuu wasiojipenda.
.
Aaaah vibaya hivyoBabu comments zako huwa zinanichekesha sana..
Ni vile tu sijawahi kukuambia.
Ondoka analogi huko mjukuu...Babu wa kidigitali wewe.
Ndio mkuu. Hospital ya mkoa daily ndo mitaa yangu.Yeah mkuu, umesoma huko eeh?
Ndio
Afu mtu yupo comfortable inamaana huo mnuko hausikii kweli?!Leo asubuhi nimenimepishana na mtu ananuka jasho la maharage Yule jamaa..!!nikasema sasa asubuhi Hali ndy hivi,ikifika saa saba u kipishana nae si unaweza kuzimia!?
Teh jamaa naona unapambana kutafuta sababu ya kunuka jasho....imeisha hiyo mimi sipendi mtu kunuka jasho period!!!Inategemea na mazingiri kama yupo kazini unataka anukie all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unapambana...Mi naona mwanamke mhasibu ndio atanivusha aisee😅
Ananielewa huyo manzNaona unapambana...
Aiseee...Ananielewa huyo manz
Hahahahah wazee mkahisi naoa kweli, mie ni nani hata niache bucha la nyamaAiseee...
Yule uliyekuwa unaulizia bei ya pete umvishe umeshamvisha?
Tulijua umeshaingia kingi kwa mtu.Hahahahah wazee mkahisi naoa kweli, mie ni nani hata niache bucha la nyama