Wanawake leo fungukeni ni kitu gani ukikikuta kwa mwanaume au hali gani ukimuona mwanaume mzuka unakata kuzagamua?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,148
Embu leo wanawake semeni sisi wanaume tushaongea sana now tunaona mmejirekebisha.

Haya leo zamu yenu ni hali ipi ukiona kwa mtu wako au mchepuko wako au mwanaume ambaye umepanga kuzagamua naye siku hiyo mzuka wako unakata kabisa unakaza kutoa kufuli na ukitoa unasema huyu amalize aende zake.

Yaani zile sexdiser ambozo ulikuwa unazivuta picha kuwa atakuwa yupo hivi vile af unafika mnakuwa kwenye harakati af gafla mzuka wako unakata kabaisa.

Mfano hapa jf unakuwa na boy wako ila hamjawai onana siku mnaona ndio siku mlio panga kuzagamuana lakini ulivyo muona tu moto ukakata embu semeni leo tupo hapa wanaume tunawasikiliza.

Tuanze na amadala awakifwatiwa na

Depal
To yeye
miss eyes
Unique Flower
Cute Wife
wakimalizia na
Dream Queen

Wa mwisho atakuwa FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom