dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Vitinda mimba ngoja tusome comment
Hakuna namna ila huyu Broo wangu sometimes inabidi umkaushie tu, anapiga vizinga huyoo mpk anasahau kama alishakupiga hivi karibuniTuwalee tu. Maana hakuna namna.
,by the way, I love them so much,ufirst born rahaaKanuni namba 4080 ya first born.Kuwa first born ni blessings toka kwa jah..Firstborn ni inspiration kwa wadogo zake. Hekima, busara, upole, uvumulivu na muongozaji ni sifa za sisi ma firstborn.
Firstborn tunaaminiwa kuanzia na wadogo zetu, jamii hadi wazazi. Wakitoka wazazi kwenye familia first born ndo wanaofuatia kwa mamlaka ndani ya Nyumba.
Firstborn hatunyoagi viduku, hatuvai suruali za kubana wala vipusa hii inaonyesha ni jinsi gani tulivyosmart kuanzia kimuonekano mpaka akili.
Wadogo zetu tunawapenda na kuwajali sana misala yenu inatucost ila tunaibeba kama yetu na hiyo inaitwa LOVE from firstborn.
Jipe shavu
Kiranga, kumbe unafikaga mitaa hii!Kanuni namba 4080 ya first born.
Muda wowote uwe na akiba ya US $5,000 unayoweza kutoa bila kutetereka ukishtukizwa kuombwa mchango kwenye mambo ya kifamilia.
Pia, mchango wa mawazo unaweza kuwa wa umuhimu hata zaidi.
Kaka mkubwa Kiranga.
Mimi mpaka Uwanja wa Fisi nafika, nakatiza Argentina, kama naenda darajani, napita kwa Mfuga Mbwa, najichanganya na machizi wa mnanda Uwanja wa Fisi.Kiranga, kumbe unafikaga mitaa hii!
Kuwa big bro sio mchezo ujue.. Kila time inabidi uwe strong.Kanuni namba 4080 ya first born.
Muda wowote uwe na akiba ya US $5,000 unayoweza kutoa bila kutetereka ukishtukizwa kuombwa mchango kwenye mambo ya kifamilia.
Pia, mchango wa mawazo unaweza kuwa wa umuhimu hata zaidi.
Kaka mkubwa Kiranga.
Daaah hapo umeongea ukweli dada financial services maana daah ni balaa..! Nina madogo wanne. Huyu anayenifuata mzigo bora ya huyo wakatikati kidogo anaonyesha kujielewa.Oyooo, mafirst born tupoo, ila madogo wanapinga vizinga haoo ,![]()
![]()
Ni nadra sana kukuta atheists wakichangia hoja anuai ktk mambo ya kijamii. Hata kama watakuwa wanatumia IDs feki bado wako radhi kutumia IDs feki nyinginezo ktk ku sosholaiz! Hongera Kiranga!Kanuni namba 4080 ya first born.
Muda wowote uwe na akiba ya US $5,000 unayoweza kutoa bila kutetereka ukishtukizwa kuombwa mchango kwenye mambo ya kifamilia.
Pia, mchango wa mawazo unaweza kuwa wa umuhimu hata zaidi.
Kaka mkubwa Kiranga.
Kazi ipiii watu tupo tofauti nje ya jf tupo na heshima zetu
Sio nilivyojitetea bwana nimemwambia ukweli yeye ananijua tu kwa kunisoma humu jfHahah!! Mkuu nimependa ulivyojitetea.
Me mwenyewe Fesbon
Sema ndo mambo ya family inabidi uende nao kibishi.Daaah hapo umeongea ukweli dada financial services maana daah ni balaa..! Nina madogo wanne. Huyu anayenifuata mzigo bora ya huyo wakatikati kidogo anaonyesha kujielewa.
First things first my atheism is part of me, only part of me, it does not define me.Ni nadra sana kukuta atheists wakichangia hoja anuai ktk mambo ya kijamii. Hata kama watakuwa wanatumia IDs feki bado wako radhi kutumia IDs feki nyinginezo ktk ku sosholaiz! Hongera Kiranga!
Ni kweli mkuu. Najitahidi kuwapatia ninapoweza sometimes nakuwa ninayo sema siwapi ili wazoee.Sema ndo mambo ya family inabidi uende nao kibishi.
Na sisi tuliozaliwa katikati tunakomenti wapi
Hivi iko ulichoniquote ni utani eenh waliotakiwa kuniquote hivyo wanaonijua nje ya jf wala nisingeshangaa
Angeniquote mzigua, sakayo au raynavero hao ndio wananijua shunie nje ya jf
Mtuvumilie..ni amri kutoka kwa wazaziOyooo, mafirst born tupoo, ila madogo wanapinga vizinga haoo ,![]()
![]()
Hahahhahhaha usijali ndg yangu karibu sana ila nimecheka sanaNaomba nikujue nje ya jf..haha
Hahahhahhaha usijali ndg yangu karibu sana ila nimecheka sana