Special kwa ma first born wote.

Special kwa ma first born wote.

Ufirstborn kwangu ni zigo la misumari nimeanza kusimamia malezi ya wadogo zangu katika umri mdogo kutatua changamoto zilizopaswa kutatuliwa na wazazi,,,,,, wao wenyewe shukrani ni zero.
 
Lastborn wengi vichwa maji,Kama ni wa kike atazaa hovyohovyo na wanaume tofauti tofauti,Kama ni wa kiume ni bangi tu kwa kwenda mbele
FB HOYEEEEEE
 
First born wengi wajanja sana, ila anayefuatia lazima awe chenga kidogo, fuatilia familia nyingi, firstborn wanajielewa sana lakini wa pili wanakuwa wajinga wajinga sana.
Tutake radhi Mkuu, Kwetu sie first born wengi ndo maboya kweli kweli wajanja huwa 2nd born
 
First things first my atheism is part of me, only part of me, it does not define me.

I am as atheist as I am a libertarian, a Sukuma, a non partisan politico, a movie buff, a reggae lover, a recovered Buddhist, a BMW enthusiast, an advocate for smaller classes, a Vampire Weekend fan, a Sam Cooke officionado, an encryption freak, a shoe collector, a bookworm, a keyboard player, an intermittent fast observer, an amateur poet, a Wall St alumni, a teetotaler, a citizen of the world, a homeowner, a landlord, a father, a criminal justice reformer, a non evangelical atheist, a Turks and Caicps frequenter, a sapiosexual, a hagiography hater, a first born, an independent thinker, a Tambaza product, an ex Oysterbay resident, a realist, a walking singularity.

Now why would you want to pigeonhole me in ine bix and define me by your narrow interpretation?

Secondly, my atheism inform me to be involved in my community in a better way than any religion could. My atheism inform me to do good for the sake of doing good, because that is good and right. Not because that is the price of admission to some fancy heaven prepared by some God.

You feel me?
Daah!! Kiranga natamani nikuone kama kuisha kwa dunia hii
 
Ufirstborn kwangu ni zigo la misumari nimeanza kusimamia malezi ya wadogo zangu katika umri mdogo kutatua changamoto zilizopaswa kutatuliwa na wazazi,,,,,, wao wenyewe shukrani ni zero.
True.. Mi mwenyewe full kuachiwa maelekezo na wazazi kuyatekeleza kwa madogo.
 
Kuwa first born si rahisi kama unavyofikiria,una majukumu makubwa yaliyombele yako.Kwanza unatakiwa uwe Na tabia njema ili uwe mfano mzuri kwa wadogo zako,ndiyo maana wazazi hutumia nguvu kubwa kumfundisha kazi na maadili mema mtoto wa kwanza kuliko wanafuata.Pili wewe ndo unategemewa kuwatunza wazazi pale wanapozeeka. Na ikitokea wazazi wakaondoka duniani,wewe ndo utavaa viatu vya wazazi wako.Tunawapenda first born wetu na imani yetu kwenu ni kubwa.
 
Kweli first borns Ni baraka kutoka kwa Mungu...... I love you my sister najua unajua id yangu so siku ukiingia huku ukisoma utajijua nakusema wewe..... Yaan Yuko tayar akose Mimi mdogo wake nipate (nna mahali pakudekea jamaniii) alishanipa robo tatu ya mshahara wake kutatua tatizo langu.... My sister Mungu akuweke akupe hitaji la moyo wako... Nikitoa wazazi you come first kwakweli ingawa Kuna muda nakukwazaga nisamehe tuu unichukulie ivyo ivyo
 
Kuwa first born si rahisi kama unavyofikiria,una majukumu makubwa yaliyombele yako.Kwanza unatakiwa uwe Na tabia njema ili uwe mfano mzuri kwa wadogo zako,ndiyo maana wazazi hutumia nguvu kubwa kumfundisha kazi na maadili mema mtoto wa kwanza kuliko wanafuata.Pili wewe ndo unategemewa kuwatunza wazazi pale wanapozeeka. Na ikitokea wazazi wakaondoka duniani,wewe ndo utavaa viatu vya wazazi wako.Tunawapenda first born wetu na imani yetu kwenu ni kubwa.
Thanks kwa kutambua mchango wetu ma firstborn..😊😀😁😂
 
Back
Top Bottom