Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,396
Ndo sisi wenyewesisi hao na u firstborn wetu
Ndo sisi wenyewesisi hao na u firstborn wetu
SaaaaanaUna blessings za kutosha man.
First born wengi ni mizigo sana,niwachache mnaojitambua kwasababu tangu kuzaliwa mnalelewa kimayai mayai sana na mnapewa mahitaji yote
Hata falsafa/na itikadi za madogo zetu tunaziandaa sisi na kuwajengea wao. Ktk vyote vionekanavyo ktk sura za wadogo zetu, ni matokeo ya ma firstborn zao. Wengi tumewatambulisha vingi.Nakubaliana na wewe. Nmetoa michongo kwa madogo toka wanasoma. Tuition gani nzuri, wasome vp wabehave na hata kazi pia nawaunganisha. Sema daaah madogo wenyeweeee chenga tupu!
Nipo apa
Kazi ipiii watu tupo tofauti nje ya jf tupo na heshima zetuKama ww ndo 1st born bas kazi ipo hahahaha..lol
Kazi ipiii watu tupo tofauti nje ya jf tupo na heshima zetu
Au sijui huwa unanichukuliaje lakiniSawa mamaa
inategemeana na wazazi na umekulia katika familia ya aina ganiSiyo kweli
Au sijui huwa unanichukuliaje lakini
Yaani president afe nafasi achukue waziri wakati makamu Rais yupo.inapenda kukomalia urithi wakati yenyewe ndio yakwanza kutoka
Ndio tupo.nipo hapa
Hahahah...! Au sio?Yaani president afe nafasi achukue waziri wakati makamu Rais yupo.
Hivi iko ulichoniquote ni utani eenh waliotakiwa kuniquote hivyo wanaonijua nje ya jf wala nisingeshangaahee...usichukulie serious ww...khaa
Tuwalee tu. Maana hakuna namna.Oyooo, mafirst born tupoo, ila madogo wanapinga vizinga haoo ,