Jana wamemtukana sana hata bungeni walishindwa kujiuliza kwa nini Raisi anamwamini mruma?Matusi yote ni sehemu ya maumivu aliyopata kama mtumishi maalum wa umma
mie sijatukana, niliona uzi humu ndani ukimsema sana na sio hapa karibia mitandao mingi yenye watu kutoa dukuduku lao, kumbe na yeye anasign mikataba, anakula mlungula, yuko kazini, nyie kijani mnajua kutuchezesha ukuti ukuti kweli aiseeMruma ni mtu wa idara kazi ya taifa kamaliza sasa endelea kutukana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii komenti nimecha mpaka machoziMimi binafsi nampongeza Chenge the Don maana kwa Mara ya kwanza kwenye hili sakata hayumo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli



Hahhahhaa.. .what a slippery coverAma kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Sawa pia kama wapo ndani ya CDM kama lengo ni njema kwa manufaa ya wantanzania, unakubali ccm ndo matatizo ya nchi hii?Hata ndani ya CCM wapo wengi waliopenyezwa ndio maana tunapata wagombea makini!
What if ukiambiwa waliojipenyeza ndani ya CDM?
Kwahiyo mruma alikuwa shushushu wa rasilimali zetu enzi za kikwete??????Inaleta ukakasi sana!Kwani Serikali ya JMT ilianza lini?Wewe toa pongezi tu kuna maswali hayana majibu.
Labda alishtukiwa akawapoteza maboya, au aliteleza.Lakini mazingira yaliomfanya aweke wino hayakumlizisha Zungu.Na alisaini mkataba bila ya kuusoma![]()
Labda alishtukiwa akawapoteza maboya, au aliteleza.Lakini mazingira yaliomfanya aweke wino hayakumlizisha Zungu.
Kwani Serikali ya JMT ilianza lini?Wewe toa pongezi tu kuna maswali hayana majibu.
kumbe shida yako pongezi tuu