Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,637
- 38,252
Zingeshikwa man chadomo ingekuwa afadhali mkuu!
Bali zimeshikwa na Lisu! Jamaa wanakera hawa
......
Zingeshikwa man chadomo ingekuwa afadhali mkuu!
Ingekuwa bora zaidi angejipenyeza ndani ya ccmAma kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Kwani Serikali ya JMT ilianza lini?Wewe toa pongezi tu kuna maswali hayana majibu.Naomba nijibiwe haya,
1,wakati anasaini bila kusoma hiyo mikataba alikuwa tayari ameteuliwa?
2.Mbona kama ilikuwa awamu iliyopita ndio alikuwa huko?
Mmmh maswali mengi kuliko majibu
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
sawa....Wakuu habari
Kama ilivo ada jana mmemponda sana mruma na kumtukana sana naomba tuwe waungwana leo tumpongeze hapa hapa maana ni askari mwema katika medani
Sent using Jamii Forums mobile app
nimemsikiliza nikashindwa kumuelewa hapa, sijui alifanya kazi za ushushushu, ngoja nitaisikiliza upya hii hotuba kwa youtubeWakuu habari
Kama ilivo ada jana mmemponda sana mruma na kumtukana sana naomba tuwe waungwana leo tumpongeze hapa hapa maana ni askari mwema katika medani
Sent using Jamii Forums mobile app
hongeraaaaa sanaAma kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
SI HUYU HUYU PROF AMBAYE JANA MLIKUWA MNAMWITA MAJINA YA AJABU? JAMANI BILA DATA MSIZUNGUMZE NA MKIZUNGUMZA HUWA NI MAJUNGU NA KUMHARIBIA SIFA MWENZENUAma kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Mruma ni mtu wa idara kazi ya taifa kamaliza sasa endelea kutukananimemsikiliza nikashindwa kumuelewa hapa, sijui alifanya kazi za ushushushu, ngoja nitaisikiliza upya hii hotuba kwa youtube