Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

Magufuli ni moja ya watuhumiwa wa mambo ya ovyo yanayotokea ndani ya nchi lakini kuna wapuuzi wao kazi yao kumsifia tu.
Leo anataka kumuua Lissu, unajua kesho atamuua nani ?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Hii thread haihusiani na Magufuli au lissu rudi kwenye mada.
 
mleta thread, una upungufu wa maarifa mwilini
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
HAKIKA TUMPONGEZE NAHAWA NDIO WAZALENDO TINAOWAHITAJI.
 
unampongeza anayesaini mkataba bila kusoma uko vizuri ki -ujingalao
Kuna mkataba wowote aliosaini bila kuusoma?
Ha ha ha...Jibu lake kwa kamati lilikuwa ni la busara mzito na kama wangejiongeza wangeelewa kwa nini kawajibu hivyo...Na Great thinkers wa kizazi hiki mkaingia mkenge kuanza kutukana.
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Aisee JINGALAO unafanana na ulichokiandika... HUYU SI RIPOTI IMESEMA ALISAINI MAKABRASHA BILA KUSOMA..??
 
Kuna kitu hakipo vzr. Nadhani hz tume za uchunguzi zimekuwa nyng mpaka zikaanza kukanyagana. Maana hata kama ni Prof ni undercover agent...hv wanatangazwa hadharani kama alivyofanya Rais leo. Something fishy...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So Lissu must go no ways out....let him go any how!for the sake of safeguarding Mruma!!
 
Naendelea kumsikiliza kupitia TBC
 
Hivi, siku hizi special operatives wanakuwa exposed hadharani? Hakuna njia bora zaidi ya kumtambua bila kumtangaza?
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.

Aliwekwa na Rais wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi na alikuwa na sauti kiasi kwamba akamuweka awe shushu huko.

Ujinga mwingine wadanganyeni hao wa Lumumba jamani
 
Back
Top Bottom