funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,199
- Thread starter
- #81
Hii thread haihusiani na Magufuli au lissu rudi kwenye mada.Magufuli ni moja ya watuhumiwa wa mambo ya ovyo yanayotokea ndani ya nchi lakini kuna wapuuzi wao kazi yao kumsifia tu.
Leo anataka kumuua Lissu, unajua kesho atamuua nani ?
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app