Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

Kuna mkataba wowote aliosaini bila kuusoma?
Ha ha ha...Jibu lake kwa kamati lilikuwa ni la busara mzito na kama wangejiongeza wangeelewa kwa nini kawajibu hivyo...Na Great thinkers wa kizazi hiki mkaingia mkenge kuanza kutukana.

Aliyemuweka hapo ni Waziri duh,hata mkiwa.waongo basi msiwe wasahaulifu.Miaka 20 akala pesa za umma asitoe siri kwa makubwa wake OK,alikuwa anaubiri aliyemweka hapo apate Urais.

Mh!
 
Ko mnataka kutuaminisha kwamba all those years madini yanasombwa kwa sauti ya mkulu mlikuwa mnakusanya taarifa tu? Upuuzi kama huo mkawaambie mnaokula nao watawaekewa otherwise ni kujisitiri na aibu
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
alikudanganya sana 2017 kwamba yeye ni shujaaa. umeona shujaa wako anavyobabaika ulaya? kazi kweli kweli.
 
Naomba nijibiwe haya,
1,wakati anasaini bila kusoma hiyo mikataba alikuwa tayari ameteuliwa?
2.Mbona kama ilikuwa awamu iliyopita ndio alikuwa huko?

Mmmh maswali mengi kuliko majibu
MKATABA MBOVU WAITIA KITANZI TANZANIA

Ndugu Watanzania!
Video hii ni sehemu ya Kesi ya Madini kati ya Tanzania na Kampuni ya Winshear Gold Corp. Mkataba wa Madini uliosainiwa mwaka 2014 na Waziri wa Nishati na Madini enzi hizo ndio unaobishaniwa hapa. Katika safu ya utetezi, Tanzania ilimpeleka Prof. Abdulkarim Mruma kuwa sehemu ya utetezi. Pamoja na umahiri na usomi wake, Prof. Mruma, hajafua dafu kwani vifungu vya mkataba vinaiumbua Serikali ya Tanzania.

Wakili msomi upande wa Winshear Gold Corp anamhoji Prof. Mruma kuwa inawezekanaje huo mchakato uliopita mikono ya wengi kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Sheria, Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania na wasomi wabobezi wa madini kama Prof. Mruma hawakuyabaini hayo mapungufu ndani ya mkataba? Swali hilo alishindwa kujibu Prof. Mruma, hivyo akaishia 'kulenga shabaha mwituni'!

Tunachotaka kusema ni kuwa, kama serikali ikisaini mkataba mbovu, huko mbele ya safari hata ikipeleka wasomi 100 wenye uwezo kama wa Prof. PL Lumumba, Mhe. Tundu Lissu, Peter Kibatara, Dkt. Masumbuko Lamwai (RIP), Prof. Jwani Mwaikusa (RIP), Dkt. Sengondo Mvungi (RIP), nk itapigwa tu.

Tunapohoji na kuupinga Mkataba wa Bandari muwe mnatuelewa. Waambieni Dkt. Tulia, Prof. Mbarawa, Maulidi Kitenge, Cd. Chongolo, na Mwanasheria Mkuu wa Serikali waipitie vizuri video hii. Lakini tutamuomba Gerson Msigwa amuonyeshe Mhe. Rais Samia clip hii. Lakini majibu ya Prof. Mruma yanaonyesha wahusika walipitia mchakato wote. Swali linalojitokeza kwetu sote ni kwa nini serikali iliusaini? Kama ni hivyo, ni kwa nini Serikali iliuvunja baadaye?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 24 Julai 2023; 15:40 pm.
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Wewe ni mjinga kama huyo professor, eti kajipenyeza sijui blahblah gani wakati kama kuibiwa tumeibiwa, kama TISS ndio ina wajinga hivi ndio maana basi nchi ipo ipo tu inaenda kwa kudra za mwenyezi Mungu.
 
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.

Mbongo mpe kichwa cha habari akutengenezee story
 
Back
Top Bottom