gkileo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,096
- 487
Kwanjia ya Bus inafaa, sema utasumbuana na askari wa mipakani, utazunguka sana, utatoa rushwa sana, ila kama una makaratasi, haina shida... Na kama una pasport bora utumie ndege tu.. Kuna watu wanakufa sana kwa njia ya bus
Wanakufa kwa nini mkuu?