South Africa nitafikaje?

South Africa nitafikaje?

Huko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde

Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
 
umetisha sasa IT jiongeze tafta office za watu wenzako wa TZ mjiunge upige kaz
 
Unaposema uko vizuri kwa kulima hasa kwa kutumia jembe la mkono una maanisha nini? Umejuaje kama upo vizuri kwa kulima na hasa kwa kutumia jembe la mkono? Ulipata faida ya mazao au unalima heka moja kwa jembe la mkono,kwa saa moja?

Tafuta Passport,nenda kwa ndege ukajaribu maisha acha kuwasikiliza wakatisha tamaa,uamuzi unao wewe mwenyewe coz humu wapo watakao kwambia,nenda na wapo watakao kwambia usiende.
Asante sana kwa ushauri mzuri sana.
 
Huko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde

Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
Bro kiujumla nadhani hata ukisoma thread zangu nadhani unaweza kuelewa mimi ni mtu wa namna gani, kiujumla nina hofu ya Mungu. Na kwa umri nilio nao sidhani km naweza kufikia hatua ya kujiunga na makund mabaya, kiufupi na jitambua. Asante
 
Ndugu zanguni, kwanza kabisa nawasalimien wote. Naomba mnisaidie mimi nina kiasi cha Shilingi Lack 5 cash, nahitajj msaada wa kufika tu South Africa. Swali langu kubwa linalo nitesa ni kwamba, Nikitoka Dar kwa njia ya Bus nikifika South Africa Mwisho wa Bus huo mji unaitwaje? Na je ntapata Guest ya kulala ya bei ndogo? Na ni sh ngapi? Na ili nipate hiyo Guest itabidi niusafiri /AU nielekee wapi? Nb nikifika huko sitegemei Kurudi Tz, ujuzi nilio nao ni IT.lakini pia nilisha wahi kuwa fundi Viatu. Je huko naweza kupata ajira? Lakin Pia niko vzr kwa kulima hasa kwa kutumia jembe la mkono. Asante.
Ah mbona unataka kupasua mbavu za watu ww! Mashamba mbona yapo Tz ya kutosha, Hapa Tz mbona tunavaa sana viatu na unaweza tu kuanzisha kijiwe tukakutumia kuving'arisha viatu vyetu, na pia mbona tunavifaa vya kutosha vinavyohitaji ujuzi wako wa IT! Ukistaajabu ya Musa kweli utayaona ya filauni…wazee wetu wa zamani walipambana wasipelekwe nchi za mbali utumwani lakini kizazi cha leo kinakimbilia kwenda utumwani…pole yako!
 
Huko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde

Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
Ila nilicho gundua Cape Town ni mbali Sana, Hasa ukishukia Johannesburg.
 
Are you sure?
yes. ukifika Harare ndo utapata bus hadi Joburg au mji wowote utakaotaka kuishi. Kuhusu kuhonga njiani sio pesa nyingi ila andaa kafungu kidogo kutoa pale tunduma upande wa Zambia na Chilundu. huko kwingine hakuna rushwa kama una a valid passport.
 
Jamaa kaondoka jana tarehe 16/2/2017 asubuhi,safari ilianzia Dsm
 
Back
Top Bottom