undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,012
Huko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde
Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa