uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,388
Asilimia kubwa ya wananchi wa South Africa wanapinga kitendo cha serikali kujihusisha na migogoro ya israeli na Palestine
Viongozi mbalimbali wa kiraia,kidini wameilamu serikali kwa kutokuzingatia mambo ya muhimu na changamoto zinazoikumba africa kusini na badala inajihusisha na mambo yasiyosaidia wananchi wa South Africa
Rais wa africa kusini yupo kwenye shinikizo kubwa la kuachia kiti chake
Mtakumbuka kuwa uhisiano fake kati ya africa kusini na palestine uliibuka ghafla wakati africa ikiwa kwenye joto la kutafuta uhuru wa kisiasa wa watu weusi
Wakati huo south africa ikiwa na Rais mzungu/kaburu aliwaunga mkono israeli kuishi kwenye nchi ya mababu zao
Hali iliopelekea wapigania uhuru wa South Africa kuunga mkono wahalifu wa palestine
Je nini itakuwa mstakabali wa South Africa na siasa za israeli-palestine?
Makaburu ndio wanamiliki uchumi wa South Africa na bado wanaushawishi mkubwa kwenye siasa za africa kusini
Muda utasema
Viongozi mbalimbali wa kiraia,kidini wameilamu serikali kwa kutokuzingatia mambo ya muhimu na changamoto zinazoikumba africa kusini na badala inajihusisha na mambo yasiyosaidia wananchi wa South Africa
Rais wa africa kusini yupo kwenye shinikizo kubwa la kuachia kiti chake
Mtakumbuka kuwa uhisiano fake kati ya africa kusini na palestine uliibuka ghafla wakati africa ikiwa kwenye joto la kutafuta uhuru wa kisiasa wa watu weusi
Wakati huo south africa ikiwa na Rais mzungu/kaburu aliwaunga mkono israeli kuishi kwenye nchi ya mababu zao
Hali iliopelekea wapigania uhuru wa South Africa kuunga mkono wahalifu wa palestine
Je nini itakuwa mstakabali wa South Africa na siasa za israeli-palestine?
Makaburu ndio wanamiliki uchumi wa South Africa na bado wanaushawishi mkubwa kwenye siasa za africa kusini
Muda utasema