Tuombe Mungu gari lisipate ajali,hatoki mtu ,Tatizo sio mtu anaempa habari, bali tatizo kubwa lipo kwake mwenyewe kufanyia kazi hizo habari kama zina ukweli. Mfano alipopewa mswaada wa Mahakama ya mafisadi ameusaini bila hata ya kuusoma chini ya lisaa moja. Waliomzunguka wameshamjua kama mkupurukaji na haambiliki. Wamebaki kumtazama tu na kula mshahara wao
Ndukiiiii
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25
Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit
mifano ipo miingi
Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'
na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....
Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
hebu hamisha hiyo H red kwenda kabla ya hapo kwenye bluu. asanteKuna watu wana hile tabia ya kukuza mambo. Labda uyu nae ni mmoja kati ya watu wanaokuza mambo.
Hana cha source huyu bingwa, ye mwenyewe katega masikio uswahilini akisikia jambo hakuna cha utafiti wala nn anaruka nalo hewani, matokeo anatupotosha hata sisi.Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25
Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit
mifano ipo miingi
Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'
na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....
Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Kuna habari kwamba Rais ana watu wake wachache anao wakubali katika ushauri, nadhani ni wale aina ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, sijui kama huu ushauri wako ataufanyia kazi, tumuweke katika maombiLeo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25
Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit
mifano ipo miingi
Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'
na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....
Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Umenikumbusha kifimbochezahebu hamisha hiyo H red kwenda kabla ya hapo kwenye bluu. asante
CC The BossWhat makes you believe Mafuru or Ndullu and not Magufuli??? and what is the basis of your conclusion? Magufuli ndo Kiongozi wa nchi. Ndo anapata ALL intelligence briefings. Kuna information nyingi both Ndullu na Mafuru hawana access nazo. Mafuru is a mere Msajili/Registrar wa Hazina. just like any other civil servant. So what makes you think kwamba waTanzania wote (leave aside Mh. Pombe) kwamba tumuamini? what makes him mtalaam wa kuaminiwa?
I am sorry, mtu akisoma bandiko lako..can easily see kwamba Mafuru or Ndullu are simply confirming (if at all they were rightly and correctly quoted) what you already believe. So no objectivity in your claims. Precisely because you want us to believe the so called economists/watalaam and ignore what the President says kwa sababu yeye siyo mtalaam.
As I have said elsewhere, Magufuli has his own shortcoming and frailties. And to that he should be rightly held to account.
However, hii vita aliyoianzisha kati ya serikali yake na privileged class ambao wameishi kwa jasho la walalahoi kwa miaka nenda rudi itakuwa ngumu sana with very far reaching ramifications. Though I am positive atashinda.
Wewe ninakukubali kwa kiasi kikubwa kwa sababu una uelewa kisheria na kiuandishi lakini una kaunafiki fulani ambako ni kawaida kwa binadamu.Naunga mkono hoja, tasnia ya habari nchini Tanzania inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa specialization ambapo, kuliandikia suala la FDA linahitaji mwandishi mahiri aliyezama kwenye uchumi nido sisi wengine tukaomba usaidizi wa wachumi watusaidie.
https://www.jamiiforums.com/threads...-fixed-deposit-na-faida-ya-fedha-kukaa-tu-bot.
Paskali
watoto wa siku hizi hawana adabu jamni.. wanamshika uongo baba yao.. hahahahhambona baba yetu muongo sana?
Mkuu;That is the point Mkuu. Kama alivyosema Magufuli..mtu akikuchukia..ukiogelea kwenye maji atasema unamtimulia vumbi!
The point is baadhi ya watu wameshamchukia Magufuli kwa sera zake za uchumi. Unfortunately they can hardly see anything positive from his work. Of course I agree with them. Ukiwa na njaa..mshauri mkubwa ni tumbo na si ubongo.