BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
Nilishangaa juzi aliposema eti serikali yake haijazuia watumishi kupandishwa madaraja ila walikua wanapisha uhakiki kwa miezi Miwili.....Uhakiki wenyewe ulianza mwezi wa Tatu...Hivi Leo miezi miwili bado....Yani huu ni uongo wa kiwango cha bahari ya Atlantic