Source hii ya Rais Magufuli aifukuze haraka...

Source hii ya Rais Magufuli aifukuze haraka...

Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..

Hashim Rungwe, alisema nchi inaongozwa na tabia na sio sheria! Kauli hii ukiitafakari utaelewa jambo. Mbaya zaidi watendaji waliopewa dhamana nao wameacha sheria wanatawala kwa kuangalia tabia za mkubwa wao. This is too bad! Watumishi wanaitwa vichaa majukwaani, hakuna chama wala taasisi ya kukemea. Mkuu The boss, haya unayoyaona yanadhihirisha giza totoro huko tunakoenda!
 
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..

huyu mafuru si ndo aliyesema dili la uda ni safi na hamna shida ni mradi safi bavicha wakamponda sasa leo katuo kauli ya kupingana na bosi wake , leo tena BAVICHA WANAMSHAMFILIA MTU HUYOHUYO
 
Tatizo sio mtu anaempa habari, bali tatizo kubwa lipo kwake mwenyewe kufanyia kazi hizo habari kama zina ukweli. Mfano alipopewa mswaada wa Mahakama ya mafisadi ameusaini bila hata ya kuusoma chini ya lisaa moja. Waliomzunguka wameshamjua kama mkupurukaji na haambiliki. Wamebaki kumtazama tu na kula mshahara wao


Ndukiiiii
 
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Kama mkuu haombi data za kudhibitisha anachoambiwa kosa la huyo mtonyaji liko wapi? I think our president ought to make sure that he will not speak anything in public without solid data based evidence. Ningekuwa ni mimi raisi akija mtu anasema "mheshimiwa kuna wafanyakazi wa umma wanachukua mil 40 kwa mwezi" ningemwambia Niletee majina na mishahara yao ya miezi mitatu ya nyuma. Nikisha jiridhisha kuwa ni kweli basi nitachukua hatua. No evidence no utterance.
 
Rais alikuwa haongelei mshahara pekee bali pay package ya baadhi ya watumishi wa serikali.

Prof. Ndulu alichosema ni namna ambavyo hiyo account ilifunguliwa na sio ubaya wa uwepo wa Fixed Account. kwa hiyo hajamkosoa Rais bali alichokisema ndicho Rais alikisema.

Kama Tanzania ingekuwa na waandishi wa habari wazuri, walitakiwa wambane awaeleze maana ya maneno ''namna ambavyo ilifunguliwa'' lakini kwa sababu taaluma imejaa makanjanja basi hawakuweza hata kuuliza

Rais Magufuli hajasema Fixed Account ni mbaya bali zilikuwa zinakuwa abused na baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya umma.

Soma BOT Act 2006 imeeleza kwa kirefu kuhusu Fixed Account kwa taasisi za serikali.
Asante Mkuu kwa ufafanuzi. Hebu nifafanulie na hili nisije ingia chaka. Rais alisema tufyatue tu kwakua elimu ni bure wakati hata sijaanza fyetua akaja waziri wakasema eti tufuate mpango wa uzazi na ile kauli ya Rais ilikuwa utani. Sasa mimi nadhan labda Ndg Ndulu na Mafuru wanatania tu au Rais alikuwa anatania tu.
 
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais.....atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Mshauri wa Rais maswala ya uchumi ni Rais, masuala ya siasa ni Rais, Kilimo mshauri ni Rais, VIWANDA mshauri ni Rais, Kwa ufupi mshauri wa Rais katika kila sekta ni Rais mwenyewe! Hivyo Mkuu unataka Rais amtimue Rais ambae ni mshauri wake?
 
Ile taarifa ya milioni 7 kwa dakika ilikuwaje kweli?
 
Rais alikuwa haongelei mshahara pekee bali pay package ya baadhi ya watumishi wa serikali.

Prof. Ndulu alichosema ni namna ambavyo hiyo account ilifunguliwa na sio ubaya wa uwepo wa Fixed Account. kwa hiyo hajamkosoa Rais bali alichokisema ndicho Rais alikisema.

Kama Tanzania ingekuwa na waandishi wa habari wazuri, walitakiwa wambane awaeleze maana ya maneno ''namna ambavyo ilifunguliwa'' lakini kwa sababu taaluma imejaa makanjanja basi hawakuweza hata kuuliza

Rais Magufuli hajasema Fixed Account ni mbaya bali zilikuwa zinakuwa abused na baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya umma.

Soma BOT Act 2006 imeeleza kwa kirefu kuhusu Fixed Account kwa taasisi za serikali.
Sheria mpya ya Huduma ya Habari itatusaidia kupata waandishi bora.
 
Ukiwa Rais wa nchi inabidi uwe extra careful ili kuhakikisha kile unachoongea ni ukweli mtupu, lakini huyu hana hilo akisikia mambo ya vijiweni (sijui nani anayempelekea) ambayo hayana kichwa wala miguu basi anayatumia kwenye hotuba zake.

Sasa subordinates wake ndani ya Serikali wameanza kumuumbua hadharani kwa kuongea vitu ambavyo havina ukweli wowote ule. Credibility imeshaporomoka kwa asilimia kubwa sana.

Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
 
nan anambishia MKEMIA, mkemia ni alfa na omega
 
Rais alikuwa haongelei mshahara pekee bali pay package ya baadhi ya watumishi wa serikali.

Prof. Ndulu alichosema ni namna ambavyo hiyo account ilifunguliwa na sio ubaya wa uwepo wa Fixed Account. kwa hiyo hajamkosoa Rais bali alichokisema ndicho Rais alikisema.

Kama Tanzania ingekuwa na waandishi wa habari wazuri, walitakiwa wambane awaeleze maana ya maneno ''namna ambavyo ilifunguliwa'' lakini kwa sababu taaluma imejaa makanjanja basi hawakuweza hata kuuliza

Rais Magufuli hajasema Fixed Account ni mbaya bali zilikuwa zinakuwa abused na baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya umma.

Soma BOT Act 2006 imeeleza kwa kirefu kuhusu Fixed Account kwa taasisi za serikali.
Mbona unamsaidia kutoa ufafanuzi rais kakutuma? kumtolea ufafanuzi? Bali hapa rais atambue kuna mkanganyiko kati yake na wasaidizi wake kama si yeye au wasaidizi wake
 
Kwa nini hakuomba kuiona payslip kabla hajatoa tamko? Tatizo halipo kwa washauri au hizo sources za info..
 
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Hapana mkuu hapo hakuna cha mshauli wala nini nacho amini binafsi magu anatumia huumwanya kuwa sisimua Wa Tanzania kuwa anafanya kazi kubwa hii kuchangia na wananzengo wengi hatuna elimu tunajikuta tuna shabikia bilakujua.kumbuka ata hizi ndege hazkutajwa bei yake kilicho semwa ni mamilioni mengi.swala la wananzengo wengi kukosa elimu ni mtaji tosha Wa jembe na nyundo.
 
KILA MTU NI JIPU..TOFAUTI NI KIWANGO NA UKUBWA WA JIPU LENYEWE, WEENGI TUNAWAITA WENGINE MAJIPU, KUMBE SISI NDIO STOO YA MAJIPU.
 
What makes you believe Mafuru or Ndullu and not Magufuli??? and what is the basis of your conclusion? Magufuli ndo Kiongozi wa nchi. Ndo anapata ALL intelligence briefings. Kuna information nyingi both Ndullu na Mafuru hawana access nazo. Mafuru is a mere Msajili/Registrar wa Hazina. just like any other civil servant. So what makes you think kwamba waTanzania wote (leave aside Mh. Pombe) kwamba tumuamini? what makes him mtalaam wa kuaminiwa?

I am sorry, mtu akisoma bandiko lako..can easily see kwamba Mafuru or Ndullu are simply confirming (if at all they were rightly and correctly quoted) what you already believe. So no objectivity in your claims. Precisely because you want us to believe the so called economists/watalaam and ignore what the President says kwa sababu yeye siyo mtalaam.

As I have said elsewhere, Magufuli has his own shortcoming and frailties. And to that he should be rightly held to account.

However, hii vita aliyoianzisha kati ya serikali yake na privileged class ambao wameishi kwa jasho la walalahoi kwa miaka nenda rudi itakuwa ngumu sana with very far reaching ramifications. Though I am positive atashinda.
 
Kama Tanzania ingekuwa na waandishi wa habari wazuri, walitakiwa wambane awaeleze maana ya maneno ''namna ambavyo ilifunguliwa'' lakini kwa sababu taaluma imejaa makanjanja basi hawakuweza hata kuuliza
Naunga mkono hoja, tasnia ya habari nchini Tanzania inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa specialization ambapo, kuliandikia suala la FDA linahitaji mwandishi mahiri aliyezama kwenye uchumi nido sisi wengine tukaomba usaidizi wa wachumi watusaidie.
https://www.jamiiforums.com/threads...-fixed-deposit-na-faida-ya-fedha-kukaa-tu-bot.

Paskali
 
Rais alikuwa haongelei mshahara pekee bali pay package ya baadhi ya watumishi wa serikali.

Prof. Ndulu alichosema ni namna ambavyo hiyo account ilifunguliwa na sio ubaya wa uwepo wa Fixed Account. kwa hiyo hajamkosoa Rais bali alichokisema ndicho Rais alikisema.

Kama Tanzania ingekuwa na waandishi wa habari wazuri, walitakiwa wambane awaeleze maana ya maneno ''namna ambavyo ilifunguliwa'' lakini kwa sababu taaluma imejaa makanjanja basi hawakuweza hata kuuliza

Rais Magufuli hajasema Fixed Account ni mbaya bali zilikuwa zinakuwa abused na baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya umma.

Soma BOT Act 2006 imeeleza kwa kirefu kuhusu Fixed Account kwa taasisi za serikali.

That is the point Mkuu. Kama alivyosema Magufuli..mtu akikuchukia..ukiogelea kwenye maji atasema unamtimulia vumbi!

The point is baadhi ya watu wameshamchukia Magufuli kwa sera zake za uchumi. Unfortunately they can hardly see anything positive from his work. Of course I agree with them. Ukiwa na njaa..mshauri mkubwa ni tumbo na si ubongo.
 
Leo ndugu Mafuru amekanusha kauli ya Magufuli kuhusu kuwepo watumishi waliokuwa
wanalipwa milioni 40 ya mshahara..infact amesema hakuna hata aliewahi kuzidi milioni 25

Juzi tu Gavana kamkosoa Magufuli kuhusu fixed deposit

mifano ipo miingi

Kwa vyovyote 'kuna mtu ambae anam feed ' Rais taarifa hizi ambazo
'zina utata na ukakakasi'

na matokeo yake Rais anaongea mbele ya hadhara vitu vinakuja kukosolewa
na wasaidizi wake....

Ushauri wangu huyu 'mtu' Magufuli amtimue haraka sana.....
hafai kukaa karibu na Rais......atampotosha makubwa zaidi kama sio tayari kashampotosha..
Mkuu The Boss, what if the source is the otherway around? .

Kwa maoni yangu kuna tatizo la "much know too much " hivyo mtu mmoja anakuwa "the jack of all trades".

Nilimsikiliza kwa makini siku ile ametembelea BOT, alisema anajua anachouliza! .

Kwenye hali ngumu ya uchumi due to scarcity of money kwenye circulation,
amesema wanaolalamika wote ni wapigaji.

Kwenye hili la FD amesema bodi zinacollude na menejiment kuiba hizo interest hivyo hao ni majizi tuu kama majizi mengine yote.
Gavana Ndulu na Msajili Hazina wana seat kwenye bodi ya TRA, wameitwa ni majizi, wamefanya in good faith na hawajaiba hata sentí tano, hivyo hawawezi kunyamaza na amini nakuambia kama Mkuu hatafuta kauli ya majizi, soon watambwagia barua yake mezani. Taarifa ya BOT itaeleza Gavana Ndulu amemaliza rasmi kipindi chake cha miaka 10.

Paskali
 
Back
Top Bottom