Sorry d nilikua nachat na rafiki yangu

Sorry d nilikua nachat na rafiki yangu

Nipo hapa Tarime natokea Nyamongo nitakua hapa Goldland Hotel kwa muda njoo faster tushauriane usije ukammaliza huyo binti
 
Hata yeye anakupenda kwa roho. Kwani mkeo humpendi, mbona Una mchepuko? Na yeye mchepuko anakuchepukia, kuwa mpole zidisha matunzo Ili uongeze ukali. Kama mkeo anavyokukumbusha condoms Na ww kumbisha mchepuko ukiwa Na maotea utumie condoms
Ahsante ICHANA but nilikua nimependa yeye mpaka kwa roho.
 
Naicopy kama ilivyo
mnishauri before sijamjibu hizi sms za mchepuko wangu
Yaani d am so happy jana ulinifurahisha sana, sijawahi kusuguliwa hivyo
yani huwezi amini hapa nilipo nahisi bado maumivu ya utamu wako nakuomba
usimpe mtu utamu wangu huo miss u,

Ah sorry d nilikua nachat na rafiki yangu wa kike tulisoma nae huwa
tunataniana hivyo nikakosea no ikaja kwako am sorry bby usinifikirie
vibaya nakupenda, utarudi lini nimekumiss.

Mpz nijibu nijue kama umenielewa, please usinielewe vibaya darl
nakupenda ukija nitakupa no yake uongee nae.

Hizi ni baadhi ya sms ambazo ninatumiwa na mchepuko wangu nilioupenda na
kuuamini nashindwa nimjibu nini coz nimerejea leo asubuhi toka moro,
naamini naibiwa nipeni ushauri nimjibu au niendelee kumchunia.

tarime moja mambo? nakuomba usitoe red card kama ni mara ya kwanza ila akwambie ukweli na umsamehe
 
tarime moja mambo? nakuomba usitoe red card kama ni mara ya kwanza ila akwambie ukweli na umsamehe

Mh ngumu kutafuna na ni chungu kumeza nafikiria bado ndo sababu ya kutafuta ushauri wenu.
 
Mambo yote ipo South Korea siku hizi.
Umeona eeh,mimi nashangaa watu bado hawajajua hili,mimi nikipata series mpya chakula hakipiti kabisa,Koreans wako vizuri bwana
 
hizo mdogo wangu ndo anakesha nazo.....anasema nzuri ila sijazifwatilia.....

Ni nzuri sana,nakuonea huruma ukijaribu utakua addicted utashindwa kufanya shughuli zako
 
hizo mdogo wangu ndo anakesha nazo.....anasema nzuri ila sijazifwatilia.....

Umeona eeh,mimi nashangaa watu bado hawajajua hili,mimi nikipata series mpya chakula hakipiti kabisa,Koreans wako vizuri bwana

Hollywood wenyewe wamekalishwa chini tena na hapo translation ni ya maandishi tu. Hakuna zaidi ya South Korea kwa sasa.
 
Ni nzuri sana,nakuonea huruma ukijaribu utakua addicted utashindwa kufanya shughuli zako

naona mdogo wangu jinsi alivyo.....yani anakesha na kukesha......ndiyo maana sitaki hata kuangalia.....
 
naona mdogo wangu jinsi alivyo.....yani anakesha na kukesha......ndiyo maana sitaki hata kuangalia.....

Dah,natamani angekua rafiki yangu....hata hivyo jaribu na hivyo una company raha saaana
 
Back
Top Bottom