Sophia Simba aomba Msamaha, asamehewa na kurejeshwa CCM

Sophia Simba aomba Msamaha, asamehewa na kurejeshwa CCM

ninachoipendea ccm ni demokrasia tatizo lipo kwa viongozi tunaowapa dhamana ya kuongoza
 
Lowasa anawapa presha.

Ata mbowe akajiunga ccm haibadilishi wanainchi kuichoka ccm.

Badala wadeal na wanainchi kupunguza umaskini wao wanadeal kuhonga na kusajili wanachama waliofukuzwa.

Ccm ishachokwa ata wafanyaje haisafishiki.
CCM WANA AKILI FUPI NA TECKNIK ZA KIZAMANI SANA ................WANANCHI WANAKERO KIBAO WAKO IKULU WANAPEANA MIBAHASHA YA KAKI NA HII YOTE NI NYALANDU KUWAACHA UCHI
 
Tangu zamani tulionya kuwa chama ni taasisi inayohitaji misingi, tukajibiwa chama ni watu na siyo misingi!!!

Mbowe must Go
 
Hahahaha... Machadema yalikuwa yanammendea
 
Siasa ndiyo "nyumbani pa unafiki zone"
 
Mama kashindwa kuvumilia msoto inaonekana hata saloon alishindwa kwenda...
Ndomana mbowe nitazidi kumkubali maana syo legelege ......exposure anayokitamboo sana

Ova
 
ha ha Magufuli alijiona taifa kubwa kaanza kuona vimulimuli atajisalimisha kwa kila aliyemdharau eti nilichukuwa fomu mwenyewe chezea 2020 wewe
 
Lowasa anawapa presha.

Ata mbowe akajiunga ccm haibadilishi wanainchi kuichoka ccm.

Badala wadeal na wanainchi kupunguza umaskini wao wanadeal kuhonga na kusajili wanachama waliofukuzwa.

Ccm ishachokwa ata wafanyaje haisafishiki.
huo ndio ukweli wenyewe bado wema sepetu naye atarudi ha ha inachekesha
 
huo ndio ukweli wenyewe bado wema sepetu naye atarudi ha ha inachekesha


Inachekesha nini????

Akisharudi nini kitabadilika kwa wanainchi??
Wema sepetu alivyoamia chadema nini kilibadilika kwa wanainchi??


Kuwa unatumia akili sio kujichekesha sijajiunga jamiiforum kuangalia meno yako.
 
Hongera Mama Sophia Simba kwa kuomba msamaha na Hongera Mkiti CCM JPM kwa Busara zako kwa kuwashawishi wajumbe wa NEC kumpokea.
TEHETEHE ANGEKUA NA BUSARA INSTEAD YA KUPIGA SIASA ANGEKUWA ANATATUA KERO ZA WANANCHI KIPINDI CHAKE KITAPITA KWA AIBU KUU...............
 
Wadau
Mhesh Sophia Simba leo amerejeshwa RASMI CCM baada ya kuomba radhi mbele Wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu Ya CCM mapema leo. Mtakumbuka aliwahi fukuzwa kwa tuhuma za kukihujumu Cham hicho.
Karibuni
Duh!
Sitoshangaa lowassa akiomba msamaha, timu yake hii.
Hivi lowassa akirudi sisiemu chadema WATAENDELEA kumuita fisadi kuu??
 
Back
Top Bottom