...You really made my day chap!!Mi ningependa kumjua huyu ASAJILE MWAIJUMBA mwenye maghorofa kila mahali anafananaje,
Naona kila mahali ana nyumba,
Ingawa wanakosea kumuandika na kuandika eti "Msajili wa Majumba"
mawazp ya igwe hayafanani na mtu aliye hai. Inaonesha anaishi kama mti, ndio maana hana uwezo wa kufanya tafakuri juu ya mambo yanayojiri katika nchi yake. Mpeni pole. Ila ukweli hata mimi sijui ni ya nani, pamoja na kujua kuwa kwa aina ya biashara anayoifanya, sidhani kama angeweza kueneza utitiri wa majumba kiasi hicho-achunguzwe
<br />sasa wewe ndio unayekurupuka na mvivu wa kusoma,...kwa mtazamo mimi na wewe tuko sawa kwamba wachunguzwe ili ukweli ujulikana....unakurupuka na kulaaumu eti igwe..........soma thread za gama,nguvu moja,zomba ....ndio ujue wa kumlaumu sio kukurupuka kama umetoka usingizini...btw acha uvivu wa kusoma na kufikiri
<br />
<br />
mkubwa! Wa2 wengine humu ni mzigo haswa! Any way 2waache walivyo.
Wewe ulikatazwa kujenga? Tanzania ni nchi ya kibepari, ujamaa tuliufuta siku nyingi sana, wacha watu wajemge wapemdavyo na wawezavyo, wewe kama umefulia kaa kimya ukapangishe kwa walioweza.
<br />mtoa thread akisha mjua,..then atajua la kufanya,...maake mimi na wewe hatuna haja ya kujua yale majengo yenye chapa sofia dar nzima na ndio maana hatujauliza,..mchemsho kauliza nafikiri ana maana yake na ndio maana anataka tumjuze
<br />
<br />
Point! Aisee uko juu mkuu
Huyu atakuwa ndugu yake na Nahashon Hausingi hahaha!Mi ningependa kumjua huyu ASAJILE MWAIJUMBA mwenye maghorofa kila mahali anafananaje,
Naona kila mahali ana nyumba,
Ingawa wanakosea kumuandika na kuandika eti "Msajili wa Majumba"
Naomba kufahamu mmiliki wa huu utitiri wa majumba yanayoitwa SOPHIA HOUSE yaliyoko karibu kila kona ya city center, karia koo, chang'ombe ni mali ya nani hasa na huyu sofia ni nani na iweje mtu mmoja tu anamiliki majumba yote hayo. Naomba mnifahamishe, Nawasilisha.
<br />Mi ningependa kumjua huyu ASAJILE MWAIJUMBA mwenye maghorofa kila mahali anafananaje,<br />
Naona kila mahali ana nyumba,<br />
Ingawa wanakosea kumuandika na kuandika eti "Msajili wa Majumba"
Jina lako linaishia na 'e', sio 'a'. Nadhani umekosea...
<br />Sio vibaya kama utatutajia 'mali' zako kwanza kabla ya kuhoji za wenzio. Hata kama huna nymba, unaweza tutajia unazo Suruali/Gauni ngapi? Pia Mashati/Blauzi ngapi? n/k
<br />
<br />
NIMESHINDWA NIMWAMINI NANI KATI YA WACHANGIAJI!!!