eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,652
- 13,793
Mkuu mbona kwetu kigoma mwisho wa reli, hamtaji? mara zote mumekuwa mkitusahau. Jamani nasi ni wadanganyika, ah, kumradhi watanzania.Ingekuwa hivyo tayari kungekuwa na barabara na viwanja vya ndege. Kuna maeneo yanasemekana kuwa economically viable lakini sio, na kuna maeneo ni economically viable lakini yanapuuzwa, kuna maeneo ambayo sio economically viable lakini yanapewa umuhimu mkubwa kutokana na sababu za kisiasa na kidini.
It is a fact that given their geagraphical locations Mwanza, Mbeya, Arusha na Mtwara zinatakiwa kupewa msukumo zaidi wa kimaendeleo ili zichangie zaidi maendeleo ya Tanzania, ni uzembe tu katika mipango na utekelezaji.