Songwe International Airport

Ingekuwa hivyo tayari kungekuwa na barabara na viwanja vya ndege. Kuna maeneo yanasemekana kuwa economically viable lakini sio, na kuna maeneo ni economically viable lakini yanapuuzwa, kuna maeneo ambayo sio economically viable lakini yanapewa umuhimu mkubwa kutokana na sababu za kisiasa na kidini.

It is a fact that given their geagraphical locations Mwanza, Mbeya, Arusha na Mtwara zinatakiwa kupewa msukumo zaidi wa kimaendeleo ili zichangie zaidi maendeleo ya Tanzania, ni uzembe tu katika mipango na utekelezaji.
Mkuu mbona kwetu kigoma mwisho wa reli, hamtaji? mara zote mumekuwa mkitusahau. Jamani nasi ni wadanganyika, ah, kumradhi watanzania.
 
Ingekuwa hivyo tayari kungekuwa na barabara na viwanja vya ndege. Kuna maeneo yanasemekana kuwa economically viable lakini sio, na kuna maeneo ni economically viable lakini yanapuuzwa, kuna maeneo ambayo sio economically viable lakini yanapewa umuhimu mkubwa kutokana na sababu za kisiasa na kidini. It is fact that given their geagraphical locations Mwanza, Mbeya, Arusha na Mtwara zinatakiwa kupewa msukumo zaidi wa kimaendeleo ili zichangie zaidi maendeleo ya Tanzania, ni uzembe tu katika mipango na utekelezaji.
Arusha haihitaji uwanja mwingine ukiangalia CBA haiwezi support uwanja mwingine mkubwa at that proximity! Tuache ubinafsi kinachotakiwa uwo wa Kilimanjaro kama haukidhi mahitaji upanuliwe kwisha kazi! Mwanza nathani kama watu wanavyosema una runway nzuri kilichobaki ni kuweka facilities muhimu kama passengers lounges, terminals na maintanance facilities Kwishnei! Hivi hamjiulizi kwanini the whole of Texas (size of Tanzania) has only 3 international airports? and yet the country US is damn rich! the answer is they look at feasibility and they advocate fewer but massive with capacities!
 
Muulizaji na wachangiaji wake mnajaribu kutuonesha jinsi mlivyo wabinafsi. Mbona yako maeneo economically viable lakini hayana barabara ambayo ni muhimu kwa uchumi kuliko hata huo uwanja wa ndege?

yep safi sana hebu tupatie tuyachambue hapa
 
Arusha haihitaji uwanja mwingine ukiangalia CBA haiwezi support uwanja mwingine mkubwa at that proximity! Tuache ubinafsi kinachotakiwa uwo wa Kilimanjaro kama haukidhi mahitaji upanuliwa kwisha kazi! Mwanza nathani kama watu wanavyosema una runway nzuri kilichobaki ni kuweka facilities muhimu kama passengers lounges, terminals na maintanance facilities Kwishnei! Hivi hamjiulizi kwanini the whole of Texas (size of Tanzania) has only 3 international airports? and yet the country US is damn rich! the answer is they look at feasibility and they advocate fewer but massive with capacities!

There are many international airports in Texas. These are the Rick Husband Amarillo International Airport, the Austin-Bergstrom International Airport, Brownsville/South Padre Island International Airport, the Corpus Christi International Airport, the Dallas-Fort Worth International Airport, the El Paso International Airport, the Valley International Airport, the Laredo International Airport, the Lubbock Preston Smith International Airport, the McAllen-Miller International Airport, the Midland International Airport and the San Antonio International Airport.
 
There are many international airports in Texas. These are the Rick Husband Amarillo International Airport, the Austin-Bergstrom International Airport, Brownsville/South Padre Island International Airport, the Corpus Christi International Airport, the Dallas-Fort Worth International Airport, the El Paso International Airport, the Valley International Airport, the Laredo International Airport, the Lubbock Preston Smith International Airport, the McAllen-Miller International Airport, the Midland International Airport and the San Antonio International Airport.

Kitu ninachokiona kwa post zilizo nyingi humu ni confusion kati ya International airport na airport bora. Wakuu maana hasa ya international airport is AN AIRPORT TYPICALLY EQUIPPED WITH CUSTOMS AND IMMIGRATION FACILITIES TO HANDLE INTERNATIONAL FLIGHTS TO AND FROM OTHER COUNTRIES. Kwa hiyo basi kutokana na hiyo definition siyo lazima international airport iwe kama JFK au Heathrow. I have been to Ndjamena intl. airport sometimes back, man hata ile airport ya Mwanza ni bomba sijui siku hizi.

Hivyo basi idea ya kuona ujenzi wa Internatinal airport Mbeya si nzuri eti tu kwa sababu gharama yake ingeweza kutumika kujengea barabara sehemu ambapo hamna barabara is just ridiculous. Gharama ya kujenga kale kaeaport ni Tshs 60 Billioni ambayo ni equivalent na 60 - 70km barabara ya lami. Well can someone tell me ni wapi hapo Tanzania kujenga barabara ya urefu huo ni more economical viable kuliko hako kaeaport?

The other factor ni kwamba Mbeya ni mkoa pekee ktk Tanzania uliopakana na nchi mbili na kwenye radius kama 500km kuelekea Malawi au Zambia hakuana international airport hivyo basi there will be more people coming thru Mbeya na hivyo kuongeza pato la taifa hasa ukizingatia kuna mining projects nyingi zinaanzishwa kaskazini ya Malawi na Zambia.

Mbeya as well ni the only region in Tanzania yenye all climatic conditions hivyo basi kuna fursa nyingi za ulimaji maua na mbogamboga for exports. Na vilevile is one of the best places to live.

Mbeya pia na majirani zake have so many tourist attractions ambazo kwa sasa haziuziki vizuri simply kwa sababu ya hiyo karaha ya more than 10hrs drive from the main overseas intl. entry port (Dar).

Another reason ni kwamba Mbeya is just 2.5 hrs flying kutoka South Africa ambayo ni economic powerhouse ya Nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara. As such ukichanganya na rasilimali zilizopo it is one of the best areas kufanya major investments.

Hivyo basi kuna haja at least kila mkoa kuwa na airport yenye runway ya lami kuwezesha ndege kubwa kutua bila matatizo thruout a yr. But for an international one, Mbeya is the perfect spot.


 
Uwanja wa mwanza sio serikali iliyokuwa ya kwanza kuonyesha initive za kuuendeleza. Ni UN na taasisi zake baada ya makashe ya DRC na Rwanda.

Hata huo usanii waliofanya ni mfadhili ndo alikuwa wa kwanza kuona umuhimu na kupendekeza. Ndo maana nasema Serikali yetu haina priority in place. Inakwenda kwenda tu.

Ni vizuri kila sehemu kukawa na kiwanja tena cha kimataifa lakini inabidi twende hatua kwa hatua. Wakati TAZARA na mindombinu yake inazidi kuchoka wanashupalia anga. haya Kwa ndege za shirika gani hizo zitatua songwe? Mizigo tani ngapi ya hayo mazao itasafirishwa kupitia huo uwanja.? Wananchi% ngapi wana uwezo wa gharama za kupaa.

Next Bagamoyo nayo itakuwa bandari ya kimataifa. Hawa hawa wanaoshangilia Songwe kuwa na internationa Airport watakuja kuponda . Kwa nini iswe mtwara au Tanga?????

Nawashauri Great thinkers tuwe tunafanya unbiased analysis kabla ya kukubaliana au kupinga kitu fulani.

Kwa hii ya songwe ni purely politics

Ndio maana tunahitaji watu wanaweza kufanya maamuzi ya maana kwa TAnzania. Nafahamu kuwa uwanja wa mwanza unatakiwa kuwa better than ulivyo sasa, uwanja mbeya unahitajika na uwanja kigoma pia unahitajika. Ujinga wa siasa utaendelea kutumaliza.

Kuna siku nimewahi kuulizwa, toka mpate uhuru mmejenga kiwanja chochote cha maana cha ndege? au mmejenga barabara yoyote ya maana? Mtu aliyeniuliza ni mtoto wa mmoja wa maofisa wa serikali ya ukoloni. Aliondoka Tanganyika akiwa mtoto.

Ukweli ni kwamba we are not serious and never we will be. Kwa style ya uongozi tuliyonayo sasa, we are doomed.
 
Kwani nini wameutelekeza uwanja wa ndege wa mwanza? Uwanja wa ndege wa mwanza ungetumika kama hub ya EAC. nchi kama Uganda, rwanda na burundi
Mkuu, uwanja wa ndege wa Mwanza haujatelekezwa, kilichokosekana pale ni jengo labda na rada ya Chenge but the runway is perferct na any flying object with an exception of A380 inaweza kutua pale. I do not think kukosekana kwa jengo zuri la airport kunazuia Mwanza kuwa hub ya EAC.

Sibishi Kuwa hata Songwe pia inahitajika lakini serikali etu haifanyi miradi yake kwa.Priority Nakumbuka waziri wa mawasiliano na uchukuzi wakati huo akiwa ni mwenyeji wa mbeya ndo alianzisha move hii.
Mkuu hiyo si kweli, fanya fact checking unbiasely, plan ya uwanja huo ilikuwepo toka miaka ya themanini. Alichofanya Mwandosya ni utekelezaji. Kwa mfano unafahamu kwamba plan ya Taifa ilikuwa ni kukifanya chuo cha ufundi Mbeya kuwa chuo kikuu cha ufundi Tanzania na hiyo ipo kwenye makabrasha ya serikali mpaka sasa. Lakini nini kinaendelea UDOM imekuwa first priority kuliko hata our mighty UDSM.

Bungeni akatangaza kuwa Songwe ni Uwanja wa kimataifa. akabanwa na mbunge 1ja kuhusu uwanja wa mwanza hapo hapo akasema na wenyewe ameupa hadhi ya kimataifa. (Kwenye post yangu hapo juu nimeeleza nini hasa maana ya International airport) Na sidhani hata hiyo hoja yako kama ni kweli kwa sababu at thiat time kuna discussion ya Uwanja wa Songwe Mwanza ilikuwa tayari ni international airport siku nyingi kwa maana kwamba ilikuwa na customs, immigration, na pia ndege kutoka nje ya nchi na kwenda nchi zingine zilikuwa zinaoperate pale. Au labda mzee unafikiri ili iwe International airport lazima BA, Lufthansa, Swiss, Delta zitue pale?

Teh teh unaweza kuona nchii hii inapelekwa kisiasa siasa. Pili hizi project za Anga zingekuwa minimised badala yake mapesa hayo yangetumika ku boost ufanisi kwenye project za TAZARA na TRL
Can you please substantiate, well kwa mfano project ya Songwe nni Tshs 60 Billioni - Je fedha hizi unaweza kuzifanyia nini kwenye TAZARA au TRL kuleta ufanisi, kumbuka mwaka jana serikali iliipa TRL bilioni 20 lakini zilitumika kama mishahara na allowances.

Kwa hiyo wakuu it is not supporting just b'coz of personal interests as others will put it lakini kuna sababu za msingi kabisa kujenga uwanja ule. And after all it is a cheap airport.
 
Uwanja wa mwanza sio serikali iliyokuwa ya kwanza kuonyesha initive za kuuendeleza. Ni UN na taasisi zake baada ya makashe ya DRC na Rwanda.

Hata huo usanii waliofanya ni mfadhili ndo alikuwa wa kwanza kuona umuhimu na kupendekeza. Ndo maana nasema Serikali yetu haina priority in place. Inakwenda kwenda tu.

Ni vizuri kila sehemu kukawa na kiwanja tena cha kimataifa (This is not true - Please refer to the meaning of an international airport) lakini inabidi twende hatua kwa hatua. Wakati TAZARA na mindombinu yake inazidi kuchoka wanashupalia anga. haya Kwa ndege za shirika gani hizo zitatua songwe? (Kwani ni ndege za shirika gani zinatua KIA, DAR na Mwanza?)

Mizigo tani ngapi ya hayo mazao itasafirishwa kupitia huo uwanja.? (Tani mamilioni)

Wananchi% ngapi wana uwezo wa gharama za kupaa. (Hii sasa ni kichekesho na ni fikra za kijamaa. Kwa kifupi hata kule Mwanza 90% ya abiria ni wale wanaolipiwa na makampuni yao without forking out a single penny from their pockets. Hivyo basi na Songwe itakuwa hivyo hivyo. By the way unafahamu ni idadi ngapi ya watu wanadrive kila siku kwenda na kurudi Nyanda za juu kusini)

Next Bagamoyo nayo itakuwa bandari ya kimataifa. (Hii ndiyo nini tena?) Hawa hawa wanaoshangilia Songwe kuwa na internationa Airport watakuja kuponda . Kwa nini iswe mtwara au Tanga?????

Nawashauri Great thinkers tuwe tunafanya unbiased analysis kabla ya kukubaliana au kupinga kitu fulani. (That is absolutely true as it is true to research on the facts before concluding, facts differ from opinions)

Kwa hii ya songwe ni purely politics (Ok so this is your conclusion? - Sasa mbona unajishangaa mwenyewe can you read between lines what you have written above?)

Si sula la ushabiki lakini umuhimu wa hiyo airport ni mkubwa and it is urgent!
 
Acha wajenge tuu la sivyo hizo pesa zitaishia mifukoni mwa mafisadi.
 
Southern part of Tanzania is very potential economically.Sasa hivi kuna mbuga kubwa ya wanyama, kuna utafiti na mipango ya uchimbaji wa madini, kuna potential kubwa ya kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Wanahitaji nao kuwa na uwanja wa ndege mkubwa. Utaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa maeneo hayo.
 
Huu uwanja ni bifu ya mwungwana na Prof. ulitakiwa uishe loooooong tym,tena nashaanga umechelewa,we real need it!mbeya mbali jamani unadrive 10hrs non stop!nashangaa kuna nini hapa!
 
An international airport is an airport typically equipped with customs and immigration facilities to handle international flights to and from other countries. Such airports are usually larger, and often feature longer runways and facilities to accommodate the large aircraft commonly used for international or intercontinental travel. International airports often host domestic flights (flights which occur within the country) in addition to international flights. In many smaller countries most airports are international airports, so the concept of an "international airport" has little meaning. In certain countries however, there is a sub-category of limited international airports which handle international flights, but are limited to short-haul destinations (often due to geographical factors) or are mixed civilian/military airports
 
Uwanja wa Songwe umeanza kujengwa tangu enzi za Nyerere lakini cha ajabu ni kuwa haukamiliki.
Kuna wakati nasikia Sumaye alibeba rundo la hela za wahisani waliokuwa wamejitolea kuendeleza ujenzi wa uwanja huo na kuzipeleka kwao kujengea barabara.
 
Naona kama nusu saa ivi mh Zambi katoka uliza lini songwe airport mbeya utakamilika.
Naibu wazili wa uchukuzi akajibu mkandarasi kapewa ultimatuma by dec 2011 awe amemaliza kazi.
My worry ni kuwa kama mkandarsi alipropose amalize april 2012 ivi kuna anaejua huu uwanja why umechukua zaidi ya 10 years kujengwa?
Its time ufunguliwe ili southern highlands ifunguke to the rest of the world jamani
 
Tanzania Tanzania Tanzania Najivumilia sana kuwa mtanzania hicho kiwanja kingekuwa kinajengwa kwenye nchi ya watu wenye akili timamu kingechukua maximu 4 years only
 
ilikuwa ni siasa tu na bongo kinachoturudisha nyuma ni kuchanganya kila kitu na siasa..
 
Jibu hilo ni la kisiasa zaidi, kwa hiyo don't worry uwanja utakamilika kama ilivyokuwa mwanzo!! tatizo majibu ya bungeni ni ya kuwaridhisha waulizaji maswali na siyo ya kiutekelezaji. Yawezekana hata uwanja ukakamilika mwishoni mwa 2014.
 
Back
Top Bottom