Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Incredible...moko ya miujiza, vocal kama ya Jesus, Mungu alimdesign mama yake akampublish dah hawa jamaa ni shiiidaMmh...
Sio kweli mkuu...
Hivi ushawahi kumsikiliza ONE THE INCREDIBLE...
sema kuna muda inatokea wanaingiza maneno MAGUMU kidogo kwenye mistari yao (hip-hop ndivyo ilivyo)...
Nafikiri hiyo ndio sababu inayokufanya uone hawa watu wanafanya mziki wa kihuni..!