Somo ulilolipenda sana darasani

Somo ulilolipenda sana darasani

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Binafsi mie nilikuwa mzuri wa Biology, nilifaulu sana na kulead in class ila cha kushangaza, baada ya form six nikaenda kusoma uchumi in which sikufanya vizuri kabisa darasani. Nilipomaliza chuo nilipata kazi ila still kichwani Biology iliniita kila wakati mpaka nilipoamua kuirudia and now ninafuraha ya maisha na ni best scientist kwenye kada ninayofanyia kazi.

Nawashauri hata wengine, somo unalolifeel sana ndilo litakalokutoa maishani. Achana na kelele zikuzungukazo. Mf, mtu uko vzr kiswahili ila unang'ang'ania Physics mwishoe unakula F na kubaki unalialia. Si kila aliye na maisha mazuri kasoma masomo unayofikiria ndiyo leading. Wazazi tujifunze kuwashauri wanetu na pia kuwasoma nini wapendacho ili mbeleni kiwasaidie kuwa na furaha ya kazi zao. Si kila anayepata mshahara mkubwa ana furaha kazini.

Kazi nzuri ni ile uifanyayo toka ndani kwa furaha.
Je wewe ulipenda na kuliwezea somo gani?
 
Binafsi mie nilikuwa mzuri wa Biology, nilifaulu sana na kulead in class ila cha kushangaza, baada ya form six nikaenda kusoma uchumi in which sikufanya vizuri kabisa darasani. Nilipomaliza chuo nilipata kazi ila still kichwani Biology iliniita kila wakati mpaka nilipoamua kuirudia and now ninafuraha ya maisha na ni best scientist kwenye kada ninayofanyia kazi.

Nawashauri hata wengine, somo unalolifeel sana ndilo litakalokutoa maishani. Achana na kelele zikuzungukazo. Mf, mtu uko vzr kiswahili ila unang'ang'ania Physics mwishoe unakula F na kubaki unalialia. Si kila aliye na maisha mazuri kasoma masomo unayofikiria ndiyo leading. Wazazi tujifunze kuwashauri wanetu na pia kuwasoma nini wapendacho ili mbeleni kiwasaidie kuwa na furaha ya kazi zao. Si kila anayepata mshahara mkubwa ana furaha kazini.

Kazi nzuri ni ile uifanyayo toka ndani kwa furaha.
Je wewe ulipenda na kuliwezea somo gani?
SIASA mpango mzima,,
 
Mm olevel nlkuag nafauru sana history yaan mitihan ya ndan nlpataga above B tu lkn necta ya fom 4 nkapata C na advance nkaenda sayansi na nkafauru lkn still naipendag saana history
 
Commerce &bookkeeping lkn necta nikafell bookkeeping ndo ikawa mwisho wake, A level nikasoma HGK nikaendelea na ushenzi ushenzi sasa hv ni mjasiriamali mzuri sitaki kuajiriwa wala nini, kiukweli napenda biashara hadi kutapeli, nikiwekwa mhasibu kwenye kikundi au taasisi yoyote lazima nipige mkwanja na sijawahi kushikwa popote nilikopita, yaani kupindisha mahesabu Vila kujulikana ndo zangu, wakati somo lenyewe nililisoma hadi form four tu daaah
 
haya masomo nilikuwa naweza kwa kiwango sawa cha A Advance Physics na Pure Mathematics
 
kwa o level nilipenda sana chemistry,na a level pia chemistry na geog
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom