Wizi wa Kura na Makosa ya Tume ya Uchaguzi Nchini Gaboni ndio Sababu ya Mapinduzi. Je, Africa Mashariki tunalo la kujifunza?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,197
20,366
Imeelezwa kuwa Wizi wa kura ambapo Tume ya Uchaguzi Nchini humo ilimtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi ktk kinyanganyiro uchaguzi Wiki iliyopita.

Uchaguzi Nchini Gaboni uligubwikwa na fujo ma vurugu nyingi na vitendo vya uvunjifu wa amani dhidi ya Raia.

Aidha taarifa zinadai kuwa siku moja kabla ya uchaguzi Rais Ali Bongo aliagiza vyombo vyake
1. Kuzima Internet Nchi nzima.

2. Kuzuia waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa

3. Kuzuia mawakala wa uchaguzi.

4. Kutoa amri ya kuzuia watu kutembea kuanzia saa mbili usiku siku ya Kutangaza matokeo.

5. Kuzuia na kubana vyombo vya habari.

Vyombo vya ulinzi na Usalama ikiwemo wakuu wa vikosi mbalimbali ndani ya Usalama na Jeshi la ulinzi vimeripoti kuwa vimechukua hatua hiyo ili kuungana na Wananchi waliotawaliwa kwa Nusu Karne na familia ya Omar Bongo na kutangaza kufutilia mbi tume hiyo ya Uchaguzi na Katiba ya Nchi hiyo.

Hili litakuwa ni Tukio la 10 la mapinduzi ya kijeshi katika ukanda wa Magharibi na kati mwa Africa ndani ya miaka mitano.

Gabon
....."A group of senior Gabonese military officers appeared on national television in the early hours of Wednesday, August, 30, and said they had taken over power after the state election body announced 64-year-old President Ali Bongo had won a third term.

The officers said they represented all security and defence forces in the Central African nation, adding that the election results were cancelled.
They then announced that all borders would remain closed until further notice and state institutions dissolved".......

Aidha Umoja wa Africa AU umetoa wito kwa vikosi hivyo kuachia madaraka kwa wananchi ili Rais Ali bongo aendelee na awamu yake ya uongozi.

Mytake: There is always a reason pale vyombo vya ulinzi vinapoamia kuside na Wanachi. Naamini huwa havikurupuki.
Je East Africa countries tuna nini cha kujifunza?

Credits: Citzen Digital na BBC News.
 
Imeelezwa kuwa Wizi wa kura ambapo Tume ya Uchaguzi Nchini humo ilimtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi ktk kinyanganyiro uchaguzi Wiki iliyopita.
Uchaguzi Nchini Gaboni uligubwikwa na fujo ma vurugu nyingi na vitendo vya uvunjifu wa amani dhidi ya Raia.
Naona afrika tunapita mule mule walikopita Ulaya na Asia miaka ya 1700 hadi 2000 na kusababisha Maafa kwa Raia wasiostahili
 
Imeelezwa kuwa Wizi wa kura ambapo Tume ya Uchaguzi Nchini humo ilimtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi ktk kinyanganyiro uchaguzi Wiki iliyopita.

Uchaguzi Nchini Gaboni uligubwikwa na fujo ma vurugu nyingi na vitendo vya uvunjifu wa amani dhidi ya Raia.


Credits: Citzen Digital na BBC News.
Kuepusha yote haya ndio maana tu asema tunataka katiba yenye kutenda haki kwa Watanzania wote na si kukipendelea chama kimoja
 
Sasa kwa nn jeshi letu halikufanya hivi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020?
 
Jeshi letu haliwezi kufanya huo uhalamia ni kinyume cha Katiba na ni Uhaini.
Mimi nadhani anayepindua matakwa ya wananchi na kujitangaza mshindi huku akiua wananchi wasio na hatia, huyo ndiye mhaini na haramia na anavunja katiba kwa kufanya yaliyo kinyume na katiba. Aondolewe mara moja na jeshi la wananchi (ndiyo maana linaitwa JESHI LA WANANCHI) siyo jeshi la mtu flani.
 
Imeelezwa kuwa Wizi wa kura ambapo Tume ya Uchaguzi Nchini humo ilimtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi ktk kinyanganyiro uchaguzi Wiki iliyopita.

Uchaguzi Nchini Gaboni uligubwikwa na fujo ma vurugu nyingi na vitendo vya uvunjifu wa amani dhidi ya Raia.

Aidha taarifa zinadai kuwa siku moja kabla ya uchaguzi Rais Ali Bongo aliagiza vyombo vyake
1. Kuzima Internet Nchi nzima.

2. Kuzuia waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa

3. Kuzuia mawakala wa uchaguzi.

4. Kutoa amri ya kuzuia watu kutembea kuanzia saa mbili usiku siku ya Kutangaza matokeo.

5. Kuzuia na kubana vyombo vya habari.

Vyombo vya ulinzi na Usalama ikiwemo wakuu wa vikosi mbalimbali ndani ya Usalama na Jeshi la ulinzi vimeripoti kuwa vimechukua hatua hiyo ili kuungana na Wananchi waliotawaliwa kwa Nusu Karne na familia ya Omar Bongo na kutangaza kufutilia mbi tume hiyo ya Uchaguzi na Katiba ya Nchi hiyo.

Hili litakuwa ni Tukio la 10 la mapinduzi ya kijeshi katika ukanda wa Magharibi na kati mwa Africa ndani ya miaka mitano.

Gabon
....."A group of senior Gabonese military officers appeared on national television in the early hours of Wednesday, August, 30, and said they had taken over power after the state election body announced 64-year-old President Ali Bongo had won a third term.

The officers said they represented all security and defence forces in the Central African nation, adding that the election results were cancelled.
They then announced that all borders would remain closed until further notice and state institutions dissolved".......

Aidha Umoja wa Africa AU umetoa wito kwa vikosi hivyo kuachia madaraka kwa wananchi ili Rais Ali bongo aendelee na awamu yake ya uongozi.

Mytake: There is always a reason pale vyombo vya ulinzi vinapoamia kuside na Wanachi. Naamini huwa havikurupuki.
Je East Africa countries tuna nini cha kujifunza?

Credits: Citzen Digital na BBC News.
EA labda Kenya tu
 
Mimi nadhani anayepindua matakwa ya wananchi na kujitangaza mshindi huku akiua wananchi wasio na hatia, huyo ndiye mhaini na haramia na anavunja katiba kwa kufanya yaliyo kinyume na katiba. Aondolewe mara moja na jeshi la wananchi (ndiyo maana linaitwa JESHI LA WANANCHI) siyo jeshi la mtu flani.
Viongozi wanaopewa madaraka wajitahidi hata kama sio 100%, wazingatie Katiba
 
Back
Top Bottom