sometimes . . .

Mmmh, umenipa maana mpya aisee


Umesema point kubwa sana, unaweza jikuta uko bize kutafuta unayokosa ukashindwa sahau shukuru kwa uliyonayo.

Unajua kwa nini nimefikia kujiulizwa hili swali? Unaweza jikuta unatimiza malengo yamaisha ya mtu mwingine ukasahau ya kwako, hata kama ya mwingine ni mazuri kiasi gani, lakini kama hayana mantiki kwako kwa nini uyatimize?

Forgive my dullness Kongosho, ili nielewe vizuri naomba mfano wenye kauhalisia kidogo; maana kama haujui malengo (purpose) yako, utajuaje kama malengo yako SIO kuwasaidia wengine wafikishe malengo yao?
 
Kwa sentensi hii naweza tumia msemo kuwa 'malaika wako anaweza kuwa shetani wako?

ndivyo ilivyo. na ndio maana nasema naish ili nitimize kusudi langu nalo ni kutimiza wajibu katika kila eneo la maisha yangu baasi. siangalii kama malaika wangu akiwa ni shetan bali nitaangalia je nimetimiza wajibu wangu?
Kongosho, huwaga naangalia nn wajibu wangu juu ya mtu huyu nami nautimiza basiiiiiiiiiiiiii kama akiona niko below std zake well and good siumizi akili yangu na kama akiona am doing it fair enough, to me its also ok. hata kazini kwangu na nyumban kwangu almost na act the same yaani niko hivyo tu and am very happy kwahilo.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikupe mfano japo wa kufikirika


Nataka kuwa daktari, nitibu watoto
Nimetamani hiki kitu tangu utoto, najiona kabisa niko wodi ya watoto ninawasaidia kuishi japo hata kama sijamaliza maumivu yao.
Nimefanikiwa, nimekuwa daktari, nimeanza kufurahiakazi yangu, naona natimiza nikitakacho.

Mara, familia inaanzisha kampuni kuubwa ya usafirishaji, na katika familia wananiteua niwe Managing Director, maana yake natakiwa kuacha kazi yangu ya udaktari.

Kweli biashara ni kubwa na inalipa 50times ya kile ninachofanya sasa kwangu na kwa familia, is it worth leaving kazi yangu ya udaktari? Huu u-MD naufanya hata sijui kwa kitu gani, money? familia?
Forgive my dullness Kongosho, ili nielewe vizuri naomba mfano wenye kauhalisia kidogo; maana kama haujui malengo (purpose) yako, utajuaje kama malengo yako SIO kuwasaidia wengine wafikishe malengo yao?
 
Ni jana tu nimejiuluza hili swali baada ya kugundua housegirl wetu nyumbani ndio anayefaidi mahangaiko yetu yaani mimi,mke wangu na watoto wangu. Tukiondoka asubuhi na mafoleni haya tunarudi nyumbani usiku,yeye ndio anashinda nyumbani akifanya kazi za hapo nyumbani.
Sisi tunakuwa ofisini, asubuhi tunakunywa chai ya wasiwasi ofisini, mchana tunakula kwa mama ntilie,labda jioni tu ndio tunakula nyumbani. Housegirl anatuimia chochote kilichopo hapo nyumbani, ile radio na tv pale nyumbani sikumbuki ni lini nilikaa nikavitumia. Imefika sasa nikajiuliza hivi nahangaikia nini?nawasilisha.
he heeeeeeeeeeeee....... halafu kila jumanosi analeta list ya vitu vilivyoisha mnatakiwa mkanunue, lol!
kuna vijana pia kila breakfast na lunch kwenu. mimi kwangu ndo sijui kwa mama ntilie? siku nilirudi nyumbani ghafla lunch time. nikakuta vijana wa3 wanasubiri msosi na dada yupo busy jikoni, nyumba inanukia balaa...... halafu anachemsha maharage ya kutupikia na wali jioni
kuna siku husband ilibidi apite nyumbani mchana kuchukua kitu, akakuta chapati zinapikwa...... akadhani za usiku, usiku chakula kinakuja mezani kande.......... akauliza zile chapati ni za kesho asubuhi? mimi nashangaa, chapati gani tena? nikapewa stori, uzuri wote tupo mezani tunakula, kwa hiyo stori na dada anaisikiliza... akajibu tu "zilikuwa za mchana" huo mchana yupo peke yake, uliza chapati alipikiwa nani
 
Ukiwafikiria wasichana wa kazi wanavyofaudu, unaweza acha kazi

he heeeeeeeeeeeee....... halafu kila jumanosi analeta list ya vitu vilivyoisha mnatakiwa mkanunue, lol!
kuna vijana pia kila breakfast na lunch kwenu. mimi kwangu ndo sijui kwa mama ntilie? siku nilirudi nyumbani ghafla lunch time. nikakuta vijana wa3 wanasubiri msosi na dada yupo busy jikoni, nyumba inanukia balaa...... halafu anachemsha maharage ya kutupikia na wali jioni
kuna siku husband ilibidi apite nyumbani mchana kuchukua kitu, akakuta chapati zinapikwa...... akadhani za usiku, usiku chakula kinakuja mezani kande.......... akauliza zile chapati ni za kesho asubuhi? mimi nashangaa, chapati gani tena? nikapewa stori, uzuri wote tupo mezani tunakula, kwa hiyo stori na dada anaisikiliza... akajibu tu "zilikuwa za mchana" huo mchana yupo peke yake, uliza chapati alipikiwa nani
 
Asante, mie mwenyewe nimejikuta najikanganya sana.

Mahangaiko yooote, then what? Ukizingatia baada ya kustaafu mwili hauna nguvu tena za kutumia
si mpaka uwe na hivyo vitu vya kutumia utakapostaafu?
unastaafu unaanza kulalamika wanao hawakukumbuki, lol!
 
We Just Live for the Day..., and Cherish the Moment.., as they Say,

"Yesterday is History, Tomorrow a Mystery, Today is a Gift, That's why it's called the Present"

all in all we live for the ones we love to make them happy and give them a good start while enjoying the ride
 
Hata kama itani-cost furaha yangu??

We Just Live for the Day..., and Cherish the Moment.., as they Say,

"Yesterday is History, Tomorrow a Mystery, Today is a Gift, That's why it's called the Present"

all in all we live for the ones we love to make them happy and give them a good start while enjoying the ride
 
Ngoja nikupe mfano japo wa kufikirika


Nataka kuwa daktari, nitibu watoto
Nimetamani hiki kitu tangu utoto, najiona kabisa niko wodi ya watoto ninawasaidia kuishi japo hata kama sijamaliza maumivu yao.
Nimefanikiwa, nimekuwa daktari, nimeanza kufurahiakazi yangu, naona natimiza nikitakacho.

Mara, familia inaanzisha kampuni kuubwa ya usafirishaji, na katika familia wananiteua niwe Managing Director, maana yake natakiwa kuacha kazi yangu ya udaktari.

Kweli biashara ni kubwa na inalipa 50times ya kile ninachofanya sasa kwangu na kwa familia, is it worth leaving kazi yangu ya udaktari? Huu u-MD naufanya hata sijui kwa kitu gani, money? familia?
Kongosho hapo utakuwa unatimiza malengo ya pesa tu na wala sio hata familia. ngoja nikwambie na hii nanihusu mmmoja kwa moja.

nimesomea ualim kisa tu ninaupenda kutoka moyoni na napenda sana kuona namfundisha mtu hadi afaulu na aawe na maisha mazuri sana. kwa bahati njema kazi yangu naifanya vyema sana na wanafunzi wangu wengine ni watu wenye vyeo had aibu kusema.

sasa nilipojiendeleza kielimu nilitaka kabisa nisome ila sikutaka kusomea ualimu tena kwa kukwepa kupewa kazi za ofisin badala ya za kufundisha. kozi niliosoma kwakua ilikuwa kwenye fani yangu kisayans nikapata attachment kwenye mradi na moja ya vitengo nyeti sana vya serikali na huku nikafanya vizuri sana kiasi kwamba nikapendwa kwa uwajibikaji wangu.

sasa nikasema ingawa nafanya vizuri hela ni nzuri but kiukweli bado siipendi sana hii kazi ninayoifanya sasa mume akasema wewe huku unalipwa hela nzuri hivi bora uache ualim nikasema hapaa so long as nafurahia ualim basi nitakufa nikiwa mwl acha nyie mniseme and huwez kuamini nilirudi kufundisha chemistry kutoka kuwa lab scientist.
 
Last edited by a moderator:
siachi kazi, ila nimeongea na Mr. soon tutaacha kuishi na wasichana wa kazi, hasara ni kubwa kuliko faida

uko kama mm kwasasa sitak kuisha na hata h/boy nitaajiri kibarua tu basi. hata kazi za ndani sitak tena manake nimekaa nao mm wengine miaka 9 wengine 5 yani wameanza mambo ya ajabu kias kwamba wao wanataka kuwa wenye nyumba sasa. huyu wa miaka 9 kapata mchumba namuozesha asepe fasta. wawili wanaobaki nawavutia kasi kilammoja apate pa kutokea tu.
 
Mumeo muelewa

Huku kwetu wangesema umerogwa, period.

Kongosho hapo utakuwa unatimiza malengo ya pesa tu na wala sio hata familia. ngoja nikwambie na hii nanihusu mmmoja kwa moja.

nimesomea ualim kisa tu ninaupenda kutoka moyoni na napenda sana kuona namfundisha mtu hadi afaulu na aawe na maisha mazuri sana. kwa bahati njema kazi yangu naifanya vyema sana na wanafunzi wangu wengine ni watu wenye vyeo had aibu kusema.

sasa nilipojiendeleza kielimu nilitaka kabisa nisome ila sikutaka kusomea ualimu tena kwa kukwepa kupewa kazi za ofisin badala ya za kufundisha. kozi niliosoma kwakua ilikuwa kwenye fani yangu kisayans nikapata attachment kwenye mradi na moja ya vitengo nyeti sana vya serikali na huku nikafanya vizuri sana kiasi kwamba nikapendwa kwa uwajibikaji wangu.

sasa nikasema ingawa nafanya vizuri hela ni nzuri but kiukweli bado siipendi sana hii kazi ninayoifanya sasa mume akasema wewe huku unalipwa hela nzuri hivi bora uache ualim nikasema hapaa so long as nafurahia ualim basi nitakufa nikiwa mwl acha nyie mniseme and huwez kuamini nilirudi kufundisha chemistry kutoka kuwa lab scientist.
 
uko kama mm kwasasa sitak kuisha na hata h/boy nitaajiri kibarua tu basi. hata kazi za ndani sitak tena manake nimekaa nao mm wengine miaka 9 wengine 5 yani wameanza mambo ya ajabu kias kwamba wao wanataka kuwa wenye nyumba sasa. huyu wa miaka 9 kapata mchumba namuozesha asepe fasta. wawili wanaobaki nawavutia kasi kilammoja apate pa kutokea tu.
huo umekuwa wimbo wetu wa Taifa (Nyumba)........ soon.
Unajua hawa wadada hawajui kwamba tunasaidiana. wao wanatusaidia na sisi tunawasaidia. Inaudhi sana unapoona dada sasa anajiona ndo mama. anaweza kuamua chochote, siku unaweza ukatafuta kitu muda mrefu..... baadae anakuambia nilikigawa sababu niliona kimechakaa......... utanunua kingine....... unalo!
 
mumeo muelewa

huku kwetu wangesema umerogwa, period.

aisee!!!!!!!!!
Mimi niko tofauti sana siangalii namfurahisha nani ila natimiza wajibu wangu vipi basi.
Utasemaa weew hadi mate yatakukaukia mdomoni.

Mm kuna ndugu ambao hata kuwatembelea siendagi na tukikutana ni kwenye misiba na sherehe baasi.siumizi akili hata siku moja. Ndugu ni kiroba cha mavi ama gunia la misumari
 
Ngoja nikupe mfano japo wa kufikirika


Nataka kuwa daktari, nitibu watoto
Nimetamani hiki kitu tangu utoto, najiona kabisa niko wodi ya watoto ninawasaidia kuishi japo hata kama sijamaliza maumivu yao.
Nimefanikiwa, nimekuwa daktari, nimeanza kufurahiakazi yangu, naona natimiza nikitakacho.

Mara, familia inaanzisha kampuni kuubwa ya usafirishaji, na katika familia wananiteua niwe Managing Director, maana yake natakiwa kuacha kazi yangu ya udaktari.

Kweli biashara ni kubwa na inalipa 50times ya kile ninachofanya sasa kwangu na kwa familia, is it worth leaving kazi yangu ya udaktari? Huu u-MD naufanya hata sijui kwa kitu gani, money? familia?

Sasa nakupata, haya ukijisachi deeper and deeper utagundua kuwa malengo yako ni kusaidia watu; kupunguza au kuondosha maumivu ya watu (giving your.....to the needy). Bado naamini kwa kuwa managing director of Kongosho and Family Logistic Co. LTD unaweza kusaidia hata hao watoto na ukawa fulfilled kwa undani. Chochote utakachofanya bado unaweza kusaidia tu hao watu directly au indirectly, hata kwa kuanzisha Foundation au kwa kufanya hiyo passion ya moyo wako part time au pindi upatapo nafasi.

So purpose inaweza isipotee ila jinsi ya kuifikia ndio inaweza kuwa tofauti.
 
Ubarikiwe kwa hili

Ila ni kutumia nguvu nyingi sana pasipo sababu, anyway

Sasa nakupata, haya ukijisachi deeper and deeper utagundua kuwa malengo yako ni kusaidia watu; kupunguza au kuondosha maumivu ya watu (giving your.....to the needy). Bado naamini kwa kuwa managing director of Kongosho and Family Logistic Co. LTD unaweza kusaidia hata hao watoto na ukawa fulfilled kwa undani. Chochote utakachofanya bado unaweza kusaidia tu hao watu directly au indirectly, hata kwa kuanzisha Foundation au kwa kufanya hiyo passion ya moyo wako part time au pindi upatapo nafasi.

So purpose inaweza isipotee ila jinsi ya kuifikia ndio inaweza kuwa tofauti.
 
Ubarikiwe kwa hili

Ila ni kutumia nguvu nyingi sana pasipo sababu, anyway

Hapana, sababu ipo ambayo ni 'kuwasaidia familia yako ambayo inahitaji msaada wako' na kumbuka furaha ya kweli unaipata katika kusaidia (kutoa), hivyo mwisho wa siku wewe ndio unakuwa mwenye furaha. This is deep kwa kweli.
 
sometimes huwa najikuta nashangaa tu
hivi tunaishi kwa ajili ya nini?

Baada ya kupata hayo yooote unayoyahangaikia, then what?

Jibu unalipata katika Biblia kitabu cha KOHELETHI @ Mhubiri.
"Mambo yote ni upumbavu na kujilisha upepo"
hebu uchakachue msemo huo uone Mfalme Suleimani alivyakuwa na busara miaka elfu kadhaa kabla ya Kristo Yesu.

Bazazi!
 
Back
Top Bottom