Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Wewe na Zitto wapi na wapi acha ujinga ukoo wenu wote hakuna hata moja anaweza kujifananisha na Zitto.


Ofcourse, namjua huyu, ukoo waohawana tabia ya usaliti na u-opportunist kama wa huyu Zana Za Kilimo. Na sishauri ukoo wowote ujivunie tabia kama za huyu bwana,,Sio tabia nzuri hata kidogo...By the Way,duniani tunapita tu, tenda wema tu uende zako, huna haja ya kufanya hila ili uendelee kutesa duniani (a.k.a njiani).
 
Misa huwa haikamiliki bila kumtaja shetani kwa njia yeyote ile,

aidha kwenye maombi au kwenye mafundisho kuwaonya wengine wasienende kama yeye.

Mkuu ubarikiwe....

Kama kuna mtu hataki kuusikia ukweli huu, basi na aache...
 
Msiba wa kujitakia hauna majuto... CDM ni salama sasa WASALITI wanajulikana na wanazidi kuumbuana... Kama ilivyo ada urafiki wa wachawi huwa haudumu...Tunamsubiria Juliana na Mtela wazidi kumwaga Mboga....
 
mtamuwaza sana zitto. na kamwe mtamkumbuka na hamtakaa mumfikie. watch his steps. kila kukicha Jina lake halikauki humu. mnamtaja mara nyingi kuliko muwatajavyo waume/wake zenu.



View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.
Kibaya zaidi haheshimiwi tena,wanaPAC hawamuheshimu tena chair wao.Kuna tetesi zinaenea kwny duru kuwa Zito amekula kichapo katika kugombea demu huko Malaysia.habari kamili zitawajia
My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa
 
Wewe umetumwa na mabwana zako, wacha uongo, zito siye akiyepigana malesia, zito amewaacha wenzake huko salaama kabisa naye akaenda Madina kutimiza wajibu wake wa kidini. La pili zito is still very popular na ni kiongozi shupavu . Hivi sasa Cdm imeungana na Maswi kumharibia sifa, na hiyo deal imefeli. Wakati zitto anapigana na ufisadi na oesa za escrow kina mbowe na tundu lisu wamekaa kimya, bali wanampaa silaha maswi ambaye amekuwa fisadi number one kumshinda hata Jairo.

Wacheni siasa za maji taka

Naona demu wake umeingia front.
 
Pole Zitto. Wamekuchezeshea kichapo hevi? Utapona tu. Uache kuparamia mademu wa wabunge mabaunsa! Watakuua
 
Pesa alizochukua haziwezi fikia thamani ya Status yake alioijenga kwa miaka mingi kwa jasho na damu nyingi. Hakufanya Opportunity cost baina ya haiba yake na pesa.
This is a tragedy of miscalculations.
Ishakuwa story.
 
Mimi naamini amefanyiwa character assasination tu,kuna kitu nyuma ya pazia siku tukikijua tutakata tamaa ya siasa...hakuna usaliti wowote alioufanya zitto.

Too late. Wewe unanikumbusha kisa cha Bashe kuambiwa sio raia,alipokuwa anapigana kuweka mambo sawa mchakato wa kura za maoni ukapita. Anapata uraia mtu kaanza kampeni. Zito hakutakiwa kufanya kosa hata chembe. Siasa ni kama mchezo wa mpira kosa moja dogo basi ni goli.
 
Ameponzwa na Tamaa ya umaarufu, madaraka, marafiki kumpa kichwa , kiburi , ushamba na u much know ........

Zitto tayari ni maarufu, hajaponzwa na tamaa ya umarufu... ameponzwa na kuwa open and to challenge status quo

Mimi sio muumini wake but i believe kabisa, watanzania wengi na IQ yetu ilivyo documented ni fuata mkumbo tu

None of the politicians can do a good analysis kama zitto kwenye jambo lolote lile... his biggest enemy is his ego and honesty
 
Kweli boban akili zako kama zimeruka vile
Ulishasikia mgonjwa yupo maututi akamuoneya huruma mtu aliye na afya yake tena hana presha

Naona mnebaki wa kuwangaika tu na kumuota zt zt zt
Zito nimtu aliye jitambuwa na kuwachiya sanduku lenu nyambafu

Punguza jazba,haiba ya Zito inayopotea ina thamani maana kaijenga kwa miaka mingi. Sasa huwezi sema katulia wakati analoose! Utatulia wakati unapoteza uhai taratibu!! Sio kweli hii hali sio afya kwa Zito.
 
View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.
Kibaya zaidi haheshimiwi tena,wanaPAC hawamuheshimu tena chair wao.Kuna tetesi zinaenea kwny duru kuwa Zito amekula kichapo katika kugombea demu huko Malaysia.habari kamili zitawajia
My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa

Umemaliza kazi yako kwa leo nenda kawaambie nimemchafua tena ZITO leo. Huna point wewe kazi yako kutumika. Unaweza kumlinganisha ZITO na kibaka gani wa chadema sasa hivi, wote wamebaki wezi tena wasiokuwa na huruma. ZITO kiboko chenu na ni lazima kitawachapa tu. Unajua mmiliki wa jf ni nani? au ndo umetumwa. Hizo ni siasa uchwara achaneni na ZITO awatumikie watanzania. Nenda kajifiche ndani ya ukawa ndo chama kimebaki huko, lakini siku NCCR-MAGEUZI na CUF wakiwashitukia basi ndo habari yenu imekwisha.
 
Umemaliza kazi yako kwa leo nenda kawaambie nimemchafua tena ZITO leo. Huna point wewe kazi yako kutumika. Unaweza kumlinganisha ZITO na kibaka gani wa chadema sasa hivi, wote wamebaki wezi tena wasiokuwa na huruma. ZITO kiboko chenu na ni lazima kitawachapa tu. Unajua mmiliki wa jf ni nani? au ndo umetumwa. Hizo ni siasa uchwara achaneni na ZITO awatumikie watanzania. Nenda kajifiche ndani ya ukawa ndo chama kimebaki huko, lakini siku NCCR-MAGEUZI na CUF wakiwashitukia basi ndo habari yenu imekwisha.

Mkuu ni wapi nimemchafua Zito,thread yote inamuonea huruma Zito anavyoteketea,onyesha nilipomchafua
 
View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.
Kibaya zaidi haheshimiwi tena,wanaPAC hawamuheshimu tena chair wao.Kuna tetesi zinaenea kwny duru kuwa Zito amekula kichapo katika kugombea demu huko Malaysia.habari kamili zitawajia
My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa

Mkuu umeongea mengi kama vile unaowaandikia wote ni wajinga kama hao

Toa uthibitisho wowote wa kumhusisha zitto na huo usaliti
 
Mkuu umeongea mengi kama vile unaowaandikia wote ni wajinga kama hao

Toa uthibitisho wowote wa kumhusisha zitto na huo usaliti

Sasa mkuu unanilazimisha kuaminini hii ID ina uhusiano mkubwa na na zitto au ni Zitto mwenyewe.

Unajuwa kwa nini? subiri nifike nyumbani nikiwa na pc nitakuwekea mabandiko yako hapa.

Zitto ni mnafki na msaliti ataungwa mkono na wanafki wenzake tu.
 
Mkuu umeongea mengi kama vile unaowaandikia wote ni wajinga kama hao

Toa uthibitisho wowote wa kumhusisha zitto na huo usaliti

Waberoya, you are more than this! In the abundance of water only a fool is thirsty!

Cover the top, attack the bottom!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom