Hilo ndilo tatizo la wanasiasa walio wengi hapa Tanzania na Africa kwa ujumla _U_S_A_L_I_T_I. WANASIIASA WOTE NI WASALITI NA NI WANAFIKI WAKUBWA WOTE WANAOJIFANYA WANATETEA WANYONGE SUBIRI WASHIKE HATAMU NDIO MTAWAJUA. SIWAAMIN CCM WALA SIWAAMIN CHADEMA NA SITAHANGAIKA NA CHAMA CHOCHOTE BALI NTAUNGA MKONO MAPINDUZI YOYOTE YA KIJESHI AU YA KUINGIA MSITUN IWE KIJESHI AU KIKUNDI CHOCHOTE CHA WAASI
Msaliti utamjua tu, angalia kati ya watu wote ni yeye kaonyesha ishara ya tofauti, mguu katupia dah!
![]()
nakuunga mkono pointi yako mkuu! Yaani hapa watu tunajadili kwa kufuata mkumbo tu! Siku zote watanzania mnaambiwa siasa ni mchezo mchafu lakini hamuelewi! Huwezi jua kunanini hapa katikati juu zitto! Yawezekana zitto ni msaliti kweli au sio msaliti! Siasa ni mchezo mchafu, watanzania tuwe macho.
Nataka leo niwe mtabiri.
Natabiri ZZK hatoenda ACT kamwe....Kina Mwigamba na Kitila walie tu, wamuulize Mpendazoe...ZZK ameshasoma mchezo, ACT imechuja hata kabla haijaanza....
Salama ya ZZK iko ndani ya CDM and not otherwise.....
Katika watu wa kulauiwa sana kuhusu kumuharibu Zitto ni January Makamba na Kikwete
Katika watu wa kulauiwa sana kuhusu kumuharibu Zitto ni January Makamba na Kikwete
Misa huwa haikamiliki bila kumtaja shetani kwa njia yeyote ile,
aidha kwenye maombi au kwenye mafundisho kuwaonya wengine wasienende kama yeye.
Msaliti utamjua tu, angalia kati ya watu wote ni yeye kaonyesha ishara ya tofauti, mguu katupia dah!
![]()
View attachment 174005
Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto
Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme, shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.
Kibaya zaidi haheshimiwi tena,wanaPAC hawamuheshimu tena chair wao.Kuna tetesi zinaenea kwny duru kuwa Zito amekula kichapo katika kugombea demu huko Malaysia.habari kamili zitawajia
My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa
ukikaa na kinyesi muda mrefu kuna wakati unaweza ukahisi kama ugali ukatakakukila lakini ukifikisha karibu na mdomo pua zitakupa taarifa kuwa hichi ukilacho ni hatari kwa uhai wako!
So kwa hili la zitto hata iweje ukweli uko palepal ekuwa kijana alilewa sifa,majigambo,na uduni wamalezi ulichangia kuku bali kulamba mabilioni ya c.c.em ili aue upinzani na hasa chadema.
Kumbukeni watetezi wake akina mwigulu,nape,ritz 1,january makamba na wengineo toka c.c.m walivyoshupaa ili kumpigia debe mtumwa wao?
Yaani c.c.m ambao tulitegemea washangilie chadema inakufa eti hao hao ndiyo waliku wakiipigani chadema isiganyike iendelee kuwa imara???
-nipo tayari kuifia chadema maishani.
View attachment 174005
Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto
Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme, shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.
Kibaya zaidi haheshimiwi tena,wanaPAC hawamuheshimu tena chair wao.Kuna tetesi zinaenea kwny duru kuwa Zito amekula kichapo katika kugombea demu huko Malaysia.habari kamili zitawajia
My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa