Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Mimi naamini amefanyiwa character assasination tu,kuna kitu nyuma ya pazia siku tukikijua tutakata tamaa ya siasa...hakuna usaliti wowote alioufanya zitto.

Nakuunga mkono pointi yako mkuu! yaani hapa watu tunajadili kwa kufuata mkumbo tu! Siku zote watanzania mnaambiwa siasa ni mchezo mchafu lakini hamuelewi! Huwezi jua kunanini hapa katikati juu ZITTO! Yawezekana ZITTO ni MSALITI kweli au SIO MSALITI! SIASA NI MCHEZO MCHAFU, WATANZANIA TUWE MACHO.
 
Alipenda pesa na sifa hata akasahau kuwa CDM ina uongozi tena makini, tulimbeba sasa tumembwaga, ajaribu kuinuka kama ataweza, chali mbaya kapiga na UBUNGE uko reheni apende asipende, nguvu ya umma haijaribiwi kwa miguu miwili
 
Nataka leo niwe mtabiri.

Natabiri ZZK hatoenda ACT kamwe....Kina Mwigamba na Kitila walie tu, wamuulize Mpendazoe...ZZK ameshasoma mchezo, ACT imechuja hata kabla haijaanza....

Salama ya ZZK iko ndani ya CDM and not otherwise.....

CDM nako haaminiki tena labda CCM ndiko anaweza kuaminika.
 
....Huu ukimya na uvumilivu wa Mh: Zitto Kabwe ila Siku atayofunguka kuyasema ya moyoni ndani ya chadema... Sijui itakuaje ndani ya Chadema

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
....Huu ukimya na uvumilivu wa Mh: Zitto Kabwe ila Siku atayofunguka kuyasema ya moyoni ndani ya chadema... Sijui itakuaje ndani ya Chadema

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

haah,haah hana kipya,hasira zake alishazimaliza via ID ya TUNTEMEKE.
 
Zitto yuko clouds fm anongea unafiki mtupu.
Tamaa mbaya sana huyu kijana anapenda sana fedha zinamponza.

ZZk ameji aribia kabisa.

Anahojiwa na nani, Diva? Mwanahabari gani makini atakubali kupoteza muda na sauti yake kufanya mahojiano na Zito?
 
Hahahaaa! umenifurahisha mkuu! umegundua thread zinazomuhusu ZITTO zinasomwa na zinapata wachangiaji wengi! ukaona utupie hiyo kitu! hahahahaaaaaaa! business is creativity! ZITTO atawasumbua sana na kuwaumiza vichwa akili ndogo wote. Zitto mwenyewe yuko kimyaa ila watu wanatokwa povu kila kukicha! Je akiwajibu hoja zenu si ndo mtajamba na kuharisha mfulurizo! Pyuuuuuu! fshiiiiiii! mbwiiiii! tatatatataaaa! teh teh! I REALLY LIKE POLITICS.

teh teh teh ujue mkuu haya mambo magumu sana,so najaribu kutangaza biashara yangu na mimi niendelee kuongeza kipato sio kulia lia mshahara mdogo mara ooh sijui nini aggrrr,huyo zzk hawezi kubadilisha maisha yangu ye anakula vyake so kuendelea kumjadili ni kupoteza muda tu.
 
OKW BOBAN SUNZU [COLOR=#0000ff said:
[/COLOR]shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.

Hiki ndicho kinanikera saana!... Msaliti analindwa mno!
 
Hilo ndilo tatizo la wanasiasa walio wengi hapa Tanzania na Africa kwa ujumla _U_S_A_L_I_T_I. WANASIIASA WOTE NI WASALITI NA NI WANAFIKI WAKUBWA WOTE WANAOJIFANYA WANATETEA WANYONGE SUBIRI WASHIKE HATAMU NDIO MTAWAJUA. SIWAAMIN CCM WALA SIWAAMIN CHADEMA NA SITAHANGAIKA NA CHAMA CHOCHOTE BALI NTAUNGA MKONO MAPINDUZI YOYOTE YA KIJESHI AU YA KUINGIA MSITUN IWE KIJESHI AU KIKUNDI CHOCHOTE CHA WAASI

Polepole mkuu,punguza hasira aisee
 
Nakuunga mkono pointi yako mkuu! yaani hapa watu tunajadili kwa kufuata mkumbo tu! Siku zote watanzania mnaambiwa siasa ni mchezo mchafu lakini hamuelewi! Huwezi jua kunanini hapa katikati juu ZITTO! Yawezekana ZITTO ni MSALITI kweli au SIO MSALITI! SIASA NI MCHEZO MCHAFU, WATANZANIA TUWE MACHO.

Hilo ndilo tatizo la wanasiasa walio wengi hapa Tanzania na Africa kwa ujumla _U_S_A_L_I_T_I. WANASIIASA WOTE NI WASALITI NA NI WANAFIKI WAKUBWA WOTE WANAOJIFANYA WANATETEA WANYONGE SUBIRI WASHIKE HATAMU NDIO MTAWAJUA. SIWAAMIN CCM WALA SIWAAMIN CHADEMA NA SITAHANGAIKA NA CHAMA CHOCHOTE BALI NTAUNGA MKONO MAPINDUZI YOYOTE YA KIJESHI AU YA KUINGIA MSITUN IWE KIJESHI AU KIKUNDI CHOCHOTE CHA WAASI

Hii ni kama thread ya tatu ama NNE....ulizoanzisha kuhusiana na Zitto...yaonekana mahaba yako kwake bado yanashamiri

Jamii forum bila ya zitto haiwezekani!
Hongera zitto
#Nabado

habariza machame mangi. umeshakunywa mbege vitochi vingapi mpaka sasa? ndio mnavyojidanganya huko kwenye vilabu vya mbege? mwambie meku watanzania bado wanampenda zito na saccos ya mtei imepoteza mvuto

Misukule ya Zitto na wafuasi wa SACCOS ya ACT kazini.
 
Kweli ZZK sijuhi pepo gani limemshika,jamaa ni kichwa sana lakini usaliti wake umecost sana na utazidi kumcost
 
I think bado ana second chance akiomba kusamehewa ndan ya chadema...binafsi naona bado ana potential ndan yake
 
Back
Top Bottom