Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Mtu mwenye kigeu geu hastahili kuonewa huruma hata kidogo. Zitto ni mpotoshaji wa umma tu na mwimbaji wa taarab.
 
Zitto aliingizwa mkenge na Kitila; kama angebakia CDM angekuwa mwanasiasa kijana hatari sana hapa Africa.

Hata hivyo bado ana nafasi kama ataamua kufanya kazi na CDM - CDM ni brand.
 
Zitto aliingizwa mkenge na Kitila; kama angebakia CDM angekuwa mwanasiasa kijana hatari sana hapa Africa.

Hata hivyo bado ana nafasi kama ataamua kufanya kazi na CDM - CDM ni brand.
Umesema kweli mkuu na bado zzk ana nafasi ya kurejea cdm na akapata nafasi itakayo iongeza nyota yake kuzidi kuchomoza kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli mkuu na bado zzk ana nafasi ya kurejea cdm na akapata nafasi itakayo iongeza nyota yake kuzidi kuchomoza kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenisoma nilikokuwa nafikiri; sikutaka kufika huko lakini kama kama Zitto akiamua kurudi CDM basi itakuwa na impact kubwa sana kwa politics za Tanzania; ita nullify kila kitu hata haya namnunuzi yatakuwa hayana maana yoyote ile.

Yes; bado naiona nafasi ya Zuberi CDM.
 
Umenisoma nilikokuwa nafikiri; sikutaka kufika huko lakini kama kama Zitto akiamua kurudi CDM basi itakuwa na impact kubwa sana kwa politics za Tanzania; ita nullify kila kitu hata haya namnunuzi yatakuwa hayana maana yoyote ile.

Yes; bado naiona nafasi ya Zuberi CDM.
Zitto Kabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana uwezo wa kujenga hoja; anafanya tafiti nyingi; msomi na ana msimano wa kisiasa.

He still has a room change to change political atmosphere of this nation hasa akiamua kurudi ama hata kushirikiana na CDM.
Yes; Zitto Kabwe.
Kwa wapenda amani ya nchi yetu na ustawi wa watanzania tunamuhitaji sana mh zzk tuunganishe nguvu zetu ili tuweze kufikia malengo yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom