Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

Anafuata njia ile ile ya Amani Walid Kaburu ambaye alianzia CHADEMA akajiona yeye ndo CHADEMA akahamia CCM akifikiria CHADEMA kitakufa kwa kuondoka kwake, lahaula, hakikufa, na sasa ni kada wa CCM. ACT ni njia ya Zito kujiunga na CCM.
Unaweza kufika mahali ukahitimisha kwamba wanasiasa wa Kigoma wananunulika kirahisi sana na hawaaminiki. Binafsi siamini hivyo, naamini bado wapo wengine wanaoaminika. Hebu sasa hao wengine waichukue hii kama changamoto kwao ili kwa matendo yao wathibitishe kuwa wanasiasa wa Kigoma wanaaminika na hawanunuliki.
 
Nataka leo niwe mtabiri.

Natabiri ZZK hatoenda ACT kamwe....Kina Mwigamba na Kitila walie tu, wamuulize Mpendazoe...ZZK ameshasoma mchezo, ACT imechuja hata kabla haijaanza....

Salama ya ZZK iko ndani ya CDM and not otherwise.....
 
Kwa kuwa ni politician aliyenifanya niipende Chadema. Sina budi . Sababu nyingine ni Mods kufuta threadz zangu juu ya Zitto , sasa kiu haikatiki

habariza machame mangi. umeshakunywa mbege vitochi vingapi mpaka sasa? ndio mnavyojidanganya huko kwenye vilabu vya mbege? mwambie meku watanzania bado wanampenda zito na saccos ya mtei imepoteza mvuto
 
Nataka leo niwe mtabiri.

Natabiri ZZK hatoenda ACT kamwe....Kina Mwigamba na Kitila walie tu, wamuulize Mpendazoe...ZZK ameshasoma mchezo, ACT imechuja hata kabla haijaanza....

Salama ya ZZK iko ndani ya CDM and not otherwise.....

mi natabiri zito atakuwa mwenyekiti wa chadema taifa
 
View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.

My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa

Kwa anae hitaji mbao (soft wood) mti wa griveria kwa bei ya jumla,2*6,1*10 nk,tuwasiliane kwa pm nipo lushoto.
 
Hilo ndilo tatizo la wanasiasa walio wengi hapa Tanzania na Africa kwa ujumla _U_S_A_L_I_T_I. WANASIIASA WOTE NI WASALITI NA NI WANAFIKI WAKUBWA WOTE WANAOJIFANYA WANATETEA WANYONGE SUBIRI WASHIKE HATAMU NDIO MTAWAJUA. SIWAAMIN CCM WALA SIWAAMIN CHADEMA NA SITAHANGAIKA NA CHAMA CHOCHOTE BALI NTAUNGA MKONO MAPINDUZI YOYOTE YA KIJESHI AU YA KUINGIA MSITUN IWE KIJESHI AU KIKUNDI CHOCHOTE CHA WAASI

Mkuu sijakuelewa hapo.
 
Kwa anae hitaji mbao (soft wood) mti wa griveria kwa bei ya jumla,2*6,1*10 nk,tuwasiliane kwa pm nipo lushoto.

Cheza fair play kidogo basi mdau, kweli ukaona kabisa kuweka bango lako la biashara hapa kwenye jukwaa la siasa tena within thread unrelated ni sawa kabisaa...ianzishie thread kule jukwaa la biashara bana unatutoa kwenye reli hapa.
 
Cheza fair play kidogo basi mdau, kweli ukaona kabisa kuweka bango lako la biashara hapa kwenye jukwaa la siasa tena within thread unrelated ni sawa kabisaa...ianzishie thread kule jukwaa la biashara bana unatutoa kwenye reli hapa.

Katumia fursa vilivyo
 
...disposable zikitumika unatupa mbali na watoto zinaweza kugeuka sumu,usiogope simba kula swala,raha ya swala ni kuliwa na simba na anakushangaa ukimuhurumia...

Ndio maana unasema mtangazaji zembwela mpotoshaji. Kumbe ahadi mlizotoa n ngumu kutekelezeka! watch my steps. follow him. huyo ndiyo Zitto.
 
View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.

My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa

Binafsi kama kijana pia naumia sana kila nikimtafakari Zitto. Alikuwa role model kwa vijana wengi. Miaka hiyo 2007/2008 mi nilibazitwa jina la Zitto chuoni kwa sababu ya kusimamia ukweli bila hofu kama Zitto.

2010 nikiwa Dodoma nilikuwa nakutana na watu wengi wa CCM katika mazungumzo hata wao walikuwa wanamshangaa Zitto kwa kusaliti chama chake chini chini na tangu kipindi hicho nilipoteza imani yangu kwa Zitto na mwenendo wake umekuwa si wa kuaminika tena kwa matendo na kauli zake ambalo mala nyingi zina utata.

Zitto kweli ni case study lakini anaweza kuwa case study nzuri zaidi kwa historia ya taifa kama atajirudi na kuona alipojikwaa na arekebishe. After all umri wake bado saaaana.
 
Zitto maadamu hakutaka kufuata ushauri wangu,umaarufu wake utazidi kuporomoka siku hadi siku,mambo yatamuendea magumu zaidi pale atakapokosa kila kitu ifikapo 2015na akijidanganya kuamia chama chochote ndio atapotea kabisa kwenye jukwaa la siasa

Msinge mjadili kama umaarufu umekwisha. watch my steps.
 
Tuwe Wakweli Vijana Wengi Tulianza Kuipenda CHADEMA Kwa Ajili Ya Zitto, Nakumbuka Alikuja Iringa Mwaka 2007 Wakati Alipofukuzwa Bungeni Na Hapo Ndipo Tulianza Kuipenda Siasa. Lakini Zito Leo Kageuka Kikalagosi Mvuto Wote Umekwisha.

Mimi naamini amefanyiwa character assasination tu,kuna kitu nyuma ya pazia siku tukikijua tutakata tamaa ya siasa...hakuna usaliti wowote alioufanya zitto.
 
View attachment 174005

Rudisha kumbukumbu nyuma mpaka kipindi cha Saga la Buzwagi, Zitto akatimuliwa bungeni, nchi ikazizima kwa ajili yake, ''Baba yake'' Dr.Slaa akamtia moyo kijana akamwambia tunaenda kuishitaki CCM kwa watanzania juu ya huu ufisadi. Zitto akashika hatamu, akawa mtu muhimu mbunge wa kitaifa. Akawa mwenyekiti wa kamati nyeti sana, akalipua ufisadi, chama kikamwamini zaidi kikampa uwaziri kivuli Mambo ya Fedha.........................................................................Zitto akashika hatamu mitandaoni, akawa mwana JF, ikiletwa mada ya Zitto humu page si chini ya 20. Hata mimi nikawa CHADEMA aliyevutiwa na Zitto. Na wengi tu humu tuliipenda CHADEMA because of Zitto

Hali ya Sasa
Hali ya sasa inatia simanzi sana, japo hatua zilizochukuliwa na Chama naziunga mkono mia. Lakini namuonea huruma sana. Watu hawamuamini tena, amebaki Zitto wa facebook na twita. Sio yule tena wa kuitisha press conference akiwa na Dr.Slaa pembeni. Hata anapoibua ufisadi facebook/twita hakuna wa kumuunga mkono, watu wanamzodoa tu.Zitto amekuwa mtu wa kuzodolewa wakati alikuwa role model wa vijana katika siasa? Jamiiforums ndio usiseme,
shukrani kwa Mods kwa kuficha threads zinazomnanga Zitto.

My Take: Zitto ni case study ya Vijana wanasiasa

Kweli boban akili zako kama zimeruka vile
Ulishasikia mgonjwa yupo maututi akamuoneya huruma mtu aliye na afya yake tena hana presha

Naona mnebaki wa kuwangaika tu na kumuota zt zt zt
Zito nimtu aliye jitambuwa na kuwachiya sanduku lenu nyambafu
 
Cheza fair play kidogo basi mdau, kweli ukaona kabisa kuweka bango lako la biashara hapa kwenye jukwaa la siasa tena within thread unrelated ni sawa kabisaa...ianzishie thread kule jukwaa la biashara bana unatutoa kwenye reli hapa.

....Mkuu deonova kama kuna mtu una mjua anataka mbao niunganishe nae tufanye biashara.
 
Last edited by a moderator:
Kwa anae hitaji mbao (soft wood) mti wa griveria kwa bei ya jumla,2*6,1*10 nk,tuwasiliane kwa pm nipo lushoto.

Hahahaaa! umenifurahisha mkuu! umegundua thread zinazomuhusu ZITTO zinasomwa na zinapata wachangiaji wengi! ukaona utupie hiyo kitu! hahahahaaaaaaa! business is creativity! ZITTO atawasumbua sana na kuwaumiza vichwa akili ndogo wote. Zitto mwenyewe yuko kimyaa ila watu wanatokwa povu kila kukicha! Je akiwajibu hoja zenu si ndo mtajamba na kuharisha mfulurizo! Pyuuuuuu! fshiiiiiii! mbwiiiii! tatatatataaaa! teh teh! I REALLY LIKE POLITICS.
 
Zzk alituingiza vijana wengi chadema namshukuru kwa hilo tubaki hukuhuku mpaka ukombozi upatikane tusidanganyike kuhamia act
 
Nataka leo niwe mtabiri.

Natabiri ZZK hatoenda ACT kamwe....Kina Mwigamba na Kitila walie tu, wamuulize Mpendazoe...ZZK ameshasoma mchezo, ACT imechuja hata kabla haijaanza....

Salama ya ZZK iko ndani ya CDM and not otherwise.....

Naona zt bado anawawasha kweli
Na bado zt yupo na ataendeleya kuwepo
Misukule ndio imebaki inaangaika hayajuwi yaende wapi
 
Kama kweli mtu hana madhara kila siku hamlali bila kutaja jina lake
Hujuwi kila siku
Zt mtakapo ona ameanza kuzunguka mikowani ndio mtaona madhara ya sacosi yenu imeathirika vp
Nyambafu
 
Back
Top Bottom