Anashangaa huyu Kondoo anavyoanza kupotea kirahisi hivi
Huyo mtumishi anashangaa nini sasa!!!!!1
Huyo mtumishi anashangaa nini sasa!!!!!1
ndio maana yake!!!...toka kwa wanawake adimu.
Kuonyesha curves na maungo kutawafanya wanaume wavutiwe na wewe na kukutamani.all ey c is the bed when ey c you.
Kama wewe hutaki mtu akupende jinsi ulivyo go ahead na hivyo vivaz lakini unapo funika unatufanya tukutizame usoni co kwenye makalio yako au kifua au mapaja.
Na mara nyingi tunatabia ya kukinai so uatkua mtu wa kushobokewa sana halaf kuachwa sana.
Pia ufaham mtu akivutiwa na umbo lako tu cku ukizeeka,ukipata accidnt,au akitokea mzuri zaidi yako hutaona macho yakielekea upande wako
na hatupendi used machines..
ndio maana yake!!!
Huyo mtumishi anashangaa nini sasa!!!!!1
nasikia mmeua kule kenya!
ah...! unauliza nini!?
....hawa jamaa wanatisha kuliko hata "shetani"...
Tena ushukuru kwa kuwa wanawake weupe hawana mvuto
angekuwa ni mama au mdada wa kibongo na mamiguu kama ya Mamndenyi hapo ingekuwa ni kathethe.
Hivi umejuaje kama wanawake weupe hawana mvuto?
Kwani ni nini kitakachokuvutia kwao?