Akifanya hivo na mchepuko utajisahau tena.Anhaaa, mkuu fukuza huyo mke oa huyo
Mchepuko . Mwambie na huyo jamaa yako afukuze wake kisha aoe pia huo mchepuko.
Halafu baada ya miezi sita rudini hapa kutoa ushuhuda.
Maneno mengi utadhani unachokisema una maanisha ukute nawewe ni mchepuko mtarajiwa.Mtu anayekubali kuwa mchepuko they're just a lost soul. May the Lord deliver these people.
Low sense of self worth, kwamba all you deserve kwenye haya maisha ni kufichwa kama chupi chafu! Huyo anayeku treat namna hii ana u special gani hasa? ? ? Ni sokwe tu aliyechangamka!
Kweli upendo wa pesa ndio chanzo cha maovu yote. Naona mtego wa nyumba na biashara hapo.
You deserve your own man sis, atakayekutangaza kila mahali na atayekupenda kikweli, sio kukudhalilisha huko behind the scenes.
Stay single if you haven't found him, dont settle for being someone's cum dumpster, or glorified housegirl.
BTW kama mke hajakuweka priority ukiwa umelazwa huko hospitali, maybe coz you're not a priority. She's with you for the kids.
Labda anasubirisubiri apewe habari njema kutoka mortuary.
#People who are not faithful to their spouses ni masokwe waliochangamka.
Tulia mkuu..Wee jamaa 😀😀😀😀
Mchepuko daima ni mchepuko sio mke! Usichanganye mambo ukishamuoa amekuwa mke nimesemKwa mwanamke ndoa ni achievement, akishaolewa hana cha kupoteza tena, maisha baada ya ndoa anakuwa huru kujiamulia chochote au kifuchua makucha yake, hata mchepuko ukioa ndio utaona rangi yake halisi
Mwanamke akichepuka na ukamfuma yatakayo fuata ni maamzi yako wewe mwanaume.Ukubaliane na ukweli, ukichepuka ujue na mkeo anachepuka, siku ukimfuma kausha muhimu analala kwako...
CHAGUA UPANDE KAA HUMO.Maneno mengi utadhani unachokisema una maanisha ukute nawewe ni mchepuko mtarajiwa.
Mtushukuru sana la sivyo wengine wangekuwa wanausikia utamu kwenye Bomba tuKutulia na wake zenu ndiyo mmeshindwa kabisa nyie viumbe
I love you🤣🤣🤣🤣🤣
Umepiga mlemle mkuuNakataa. Binafsi naamini ni ubinadamu tu. Mke unaweza kuwa "slow" or "useless" kuliko "mchepuko". Mume anaweza kuwa hivyo pia. It can simply be due to personal human strengths or weaknesses, or due to different personalities. Ndio maana mleta mada kasema kuwa ktk mazingira hayo haina maana mke ana chuki na mume. Ni kwamba tu mke unaweza kuwa hauna msaada ktk mazingira fulani ambapo mchepuko anaweza kuwa lifesaver. Do you still disagree?
Ndo uhalisia mkuu. Mwanamke unaweza toka safari/kazini unakamzigo hanyanyuki hata kuja kukupokea kama kuna watoto watakuja wao yeye amekaa tu si hayo tu ni mengi tu hata ukijinyima ukamnulilia kitu cha thamani ahsante yake ni ile anatimiza wajibu tu kama hajakipenda kama kapenda na ni wakosoaji mno!Kuna mzee tunaheshimiana sana ni jirani yangu huwa nikipita kwake namkuta anafua mwenyewe najiuliza hivi huwa anataka mwenyewe au mana anamabinti pale kwake na mumewe ila bado anaish ka bachele ukishamuoa mwanamke anajisahau sana
Full stop, kwishaaa
Mwanamke akifanya hayo na ukamfuma Talaka3Umekuja kuhalalisha michepuko siko haya na mkeo akafanya kama wewe pataeleweka kwel hapo ndan
Sikupingi lakini sisi ndo wanaume tunachosema ndo huwa tunaona na kuishi humo!Wewe na rafiki yako mmeoa wanawake wenye roho mbaya. Jirani tu nikisikia amepata ajali huwa nakimbia chaap nikajue kulikoni sembuse mume ambaye ni baba wa wanangu ndio nichukue masaa yote hayo na pesa ipo?
Wanaume wengi mmeoa mashetani bila kujijua. Kuna mahali macho yaliwadanganya mkafanya maamuzi ya maisha na watu wasio sahihi.
Mkuki Kwa nguruwe au siooMwanamke akifanya hayo na ukamfuma Talaka3
Yote heri ina bado mchepuko ndo alifika chapUsikute ulivokua unamcheki muda huo na yeye alikua anamalizana na mchepuko wake, ndo maana alichelewa kukusaidia.
Siyo rahisi mkuu ni tabia yao.Inawezekana wanawake huwa wanajua mapema kuwa kuna mchepuko halafu wanaamua kujifanya hawajui kwa sababu wanazojua wao. Pengine hata huko kuchelewa kukufikia ukiwa na tatizo si kujisahau bali ni kumpa nafasi mchepuko ufanye kazi yake. Wanawake wana namna zao za kutuaminisha wanaume kuwa tupo in control kwa maslahi yao.
Tabia za kishetani hizo.Siyo rahisi mkuu ni tabia yao.
Sina mchepuko mimi wewe Kenge. Na hata siamini kwamba kuwa na mchepuko ni jambo sahihi. Nimekusanua tu kwamba msaada ni msaada tu. Mtu yeyote including mchepuko anaweza kuwa msaada - sometimes hata bila wewe unaesaidiwa kujua kwamba aliyekusaidia ni mchepuko. Anaweza kuwa mchepuko wako, ex mchepuko wako, mchepuko wa baba yako, wa mama yako, wa kaka zako, dada zako etc. Ninachokubaliana na mleta mada ni kwamba kuna mazingira mchepuko anaweza kuwa helpful at the same time ndugu wa karibu including mke wakawa completely useless.Idiot pro max ni wewe mwenye mchepuko!
Hata mchepuko wa mkeo unaweza kuokoa maisha yako.
Napendekeza mkae kifamilia na michepuko yenu kila mtu apewe kitengo chake cha uokozi: huduma ya kwanza, zimamoto, mgambo, askari wa maji, ICU n.k