Akiitwa 'wife' tabia zinabadilika bora aendelee kuitwa mchepuko, cheo cha kuitwa wife sio cha kila mtu.Kama vipi hamia mazima kwa mchepuko, achana na waifu wako
Asante, japo hiyo itakuwa kazi kubwa sana kwangu.Go through my posts and familiarise yourself with my writing.
LAZIMA UGUSWE.
If you don gerrit, forget abaurit
Nakataa. Binafsi naamini ni ubinadamu tu. Mke unaweza kuwa "slow" or "useless" kuliko "mchepuko". Mume anaweza kuwa hivyo pia. It can simply be due to personal human strengths or weaknesses, or due to different personalities. Ndio maana mleta mada kasema kuwa ktk mazingira hayo haina maana mke ana chuki na mume. Ni kwamba tu mke unaweza kuwa hauna msaada ktk mazingira fulani ambapo mchepuko anaweza kuwa lifesaver. Do you still disagree?Mtu anayekubali kuwa mchepuko they're just a lost soul. May the Lord deliver these people.
Low sense of self worth, kwamba all you deserve kwenye haya maisha ni kufichwa kama chupi chafu! Huyo anayeku treat namna hii ana u special gani hasa? ? ? Ni sokwe tu aliyechangamka!
Kweli upendo wa pesa ndio chanzo cha maovu yote. Naona mtego wa nyumba na biashara hapo.
You deserve your own man sis, atakayekutangaza kila mahali na atayekupenda kikweli, sio kukudhalilisha huko behind the scenes.
Stay single if you haven't found him, dont settle for being someone's cum dumpster, or glorified housegirl.
BTW kama mke hajakuweka priority ukiwa umelazwa huko hospitali, maybe coz you're not a priority. She's with you for the kids.
Labda anasubirisubiri apewe habari njema kutoka mortuary.
#People who are not faithful to their spouses ni masokwe waliochangamka.
Wee jamaa 😀😀😀😀Sithubutu, wewe ni complete package..
Ni wife, ni mchepuko, ni rafiki, ni bibi yangu, mshirika wangu wa kimaisha, mshikaji wangu, daktari wangu, mwalimu wangu, katoto ka 2000 kangu, mshangazi wangu..
Life saver wa ndoa yenu, kwamba kwamba kuna mtu wa kujitoa kafara huko nje ili nyie mdumu kwenye hiyo ndoa yenu.Nakataa. Binafsi naamini ni ubinadamu tu. Mke unaweza kuwa "slow" or "useless" kuliko "mchepuko". Mume anaweza kuwa hivyo pia. It can simply be due to personal human strengths or weaknesses, or due to different personalities. Ndio maana mleta mada kasema kuwa ktk mazingira hayo haina maana mke ana chuki na mume. Ni kwamba tu mke unaweza kuwa hauna msaada ktk mazingira fulani ambapo mchepuko anaweza kuwa lifesaver. Do you still disagree?
Wewe ndo walee itikadi imetafuna akili mpaka huwezi elewa simple message ambayo inahitaji common sense tu kuelewa. Ni hivi mchepuko anaweza kukusaidia au hata kuokoa maisha yako kama ambavyo binadamu mwingine yeyote asiye mkeo au mumeo anaweza kukusaidia au kuokoa maisha yako. Hapa sijazungumzia uhalali wa kuwa na mchepuko idiot.Life saver wa ndoa yenu, kwamba kwamba kuna mtu wa kujitoa kafara huko nje ili nyie mdumu kwenye hiyo ndoa yenu.
Mama yako alijitoa kafara namna hii ku save ndoa ya nani ili tupate mfano mzuri?
Na una mpango gani wa ku watrain binti zako ili wawe kafara wa kusave waume za watu?
Mkeo naye tunaomba kujua mchango wake kwenye kujitoa kafara ili asevu waume za watu huko nje.
If you examine closely, there's seriously something wrong with you people who think it's OK kwa binadamu mwenzio kuwa mchepuko.
You've reduced your fellow humans to mere objects.
Our LORD'S daughters, heirs to the Kingdom: you turned them to mere objects for rubbing your genitals.
DHARAU kubwa sana.
You're inherently evil.
Shame one you.
Kama mke mmoja hakutoshi, oa mke wa pili, and give her the honour she deserves, as a human being and as a daughter of the most high.
BUT Then again, #WeAreTheLastGeneration.
I'm not expecting that men will suddenly start respecting women.
Lawlessness will increase as it was prophecied.
Wa kukaa upande wa MUNGU na Ufalme wake akae, wa kukaa upande wa giza na Ufalme wake akae.
Mstari ndo unachorwa hivyo, very clearly.
Duuh basi hapo ndoa zifutwe tuMchepuko haolewi.. akiwa mke tu, atakuwa kama mkewe.
🤣🤣🤣🤣Sasa si atakuwa mke na sio mchepuko!! Hapo ndipo unapothibitisha hii kauli batili ya mtoa mada.
Idiot pro max ni wewe mwenye mchepuko!Wewe ndo walee itikadi imetafuna akili mpaka huwezi elewa simple message ambayo inahitaji common sense tu kuelewa. Ni hivi mchepuko anaweza kukusaidia au hata kuokoa maisha yako kama ambavyo binadamu mwingine yeyote asiye mkeo au mumeo anaweza kukusaidia au kuokoa maisha yako. Hapa sijazungumzia uhalali wa kuwa na mchepuko idiot.
Shida sio ndoa, ni mazoea, picha linaanza hata mkiwa wapenzi tu, mkizoeana sana kuna namna mnachukuliana poa, hapo bila ya kuwa na mademu wengine kadhaa, mahusiano yatakuchoshaDuuh basi hapo ndoa zifutwe tu