Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,278
- 24,174
Pamoja na kwamba tunaburudika na kuondoa stress za familia kwenye michepuko(nje ya ndoa) bado michepuko huwa ni msaada sana kwenye majanga au mahali ambapo unahitajika msaada wa haraka wake zetu/wanafamilia huwa ni wazito sana kufika kwa wakati.
Kuna kipindi niliugua nikalazwa hospital ya mbali sana nauli hadi nilipokuwa nimelazwa ukijumlisha hadi na bodaboda 59k
Kwenda na kurudi ni 118k bado hujala tuweke tu 150k.
Ni ndg yangu mmoja tu aliyekuja kuniona bana.
Eee bana kuna mahali niliyakanyaga tena nikajikuta nipo mkononi mwa police.
Familia niliipa taarifa mapema kabisa pamoja na ndg wa karibu mchepuko sikuupa hata taarifa lakni baada ya kupata taarifa japo kwa kuchelewa ndo ulikuwa wa kwanza kufika na chakula nikala tukapiga story ukarudi mida ya jioni tena huu hapa.
Jana pia mshikaji akawa ana nisimulia yale yale kama ya kwangu kwamba wake zetu tukiwaoa wanajisahau sana alieleza kuna kipindi alipata ajari pamoja na kumtaarifu mke wake mapema kabisa hata kabla hajafika hospital hela ikiwa ipo nk lakini mchepuko alikuja kuumbia baada ya masaa4 na bado ulifika kwa wakati hadi mke anafika aliukuta pale hospital (hakujua) na mengine mengi alisema jamaa.
NOTE: Wanawake mkiolewa acheni kujisahau wenzenu huko nje hawajui kupoteza muda na wanajari kweli pale tunapokuwa na magumu.
KUMBUKA:=>Siyo kwamba hatuwapendi wake zetu la hasha tunawapenda sana bali muelewe sisi wanaume tumeumbwa hivyo.
Kuna kipindi niliugua nikalazwa hospital ya mbali sana nauli hadi nilipokuwa nimelazwa ukijumlisha hadi na bodaboda 59k
Kwenda na kurudi ni 118k bado hujala tuweke tu 150k.
Ni ndg yangu mmoja tu aliyekuja kuniona bana.
Eee bana kuna mahali niliyakanyaga tena nikajikuta nipo mkononi mwa police.
Familia niliipa taarifa mapema kabisa pamoja na ndg wa karibu mchepuko sikuupa hata taarifa lakni baada ya kupata taarifa japo kwa kuchelewa ndo ulikuwa wa kwanza kufika na chakula nikala tukapiga story ukarudi mida ya jioni tena huu hapa.
Jana pia mshikaji akawa ana nisimulia yale yale kama ya kwangu kwamba wake zetu tukiwaoa wanajisahau sana alieleza kuna kipindi alipata ajari pamoja na kumtaarifu mke wake mapema kabisa hata kabla hajafika hospital hela ikiwa ipo nk lakini mchepuko alikuja kuumbia baada ya masaa4 na bado ulifika kwa wakati hadi mke anafika aliukuta pale hospital (hakujua) na mengine mengi alisema jamaa.
NOTE: Wanawake mkiolewa acheni kujisahau wenzenu huko nje hawajui kupoteza muda na wanajari kweli pale tunapokuwa na magumu.
KUMBUKA:=>Siyo kwamba hatuwapendi wake zetu la hasha tunawapenda sana bali muelewe sisi wanaume tumeumbwa hivyo.
Ni wazi kuwa mchepuko kama huo ni rahisi sana mwanaume kuujengea nyumba au kuupa mtaji ama vyote kwa pamoja (Nyumba na biashara)