majanimagugu
Senior Member
- Jan 24, 2018
- 123
- 93
Utakuwa umegeuza maandishi soma vizuri hakuna malipo usiwe na harakaUjumbe nilioupata ni kwamba kuna mtu asiye muhimu katishiwa kupigwa risasi, je nimekosea?
Utakuwa umegeuza maandishi soma vizuri hakuna malipo usiwe na harakaUjumbe nilioupata ni kwamba kuna mtu asiye muhimu katishiwa kupigwa risasi, je nimekosea?
Umejuaje silaha ilotumika ilikuwa SMG (Normal AK47) ? kama walitumia AK47 closes au SKS au AK103, au type56 clone? unless tumeambiwa silaha gani imetumika na pia bullet type yake na tukaona magazine then tunaweza kufanya hitimisho ni 30 round magazine au ni 50 round nk.Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Wala hujakosea,anaonekana ni mtu wa kauka nikuvaeUsikute hata boxer anayo moja tu anafua wakati wa kulala.
Du mkuu mbona unanipa mashambulizi bila kosa?Unajisahaulisha nepi mnazowavalisha bibi zetu vijijini mkiziita scurf? Na fulana za maisha bora kwa kila mdanganyika?
Si ndo maana hawataki kusikia wachunguzi toka nje,taasisi kama SCOTLAND YARD,FBI zikiruhusiwa hazitachukua hata mwezi kuwabaini mabashites.Mkuu, kwa wataalamu kabisa wa hayo mambo sitaki kuelezea sana ila ukienda kwenye crime scene, ni rahisi kugundua kwa kumuangalia victim kama shooters walikua wangapi, walikua wanashoot from which angle na kama walikua left or right handed. Am just saying thou.
Hapana, ilivyoisha ilitupwa pembeni akachukua mjegeje mwingine, ndio akutumia 8!!Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Zinakuuma au?Toka chadema ianze kampeini za kuvaa matisheti kwa anayenunua kila version atakuwa kajaza sanduku
Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Hayo sio mafumbo, ni ujumbe tosha kabisa. Au hiyo lugha inakusumbua?Miaka ya 1980 wake zetu walikuwa wakivaa Kanga zenye. Mipasho kwa maadui zetu!
2018 Wanaume wameiga kwa kuvaa T shirt zenye Mafumbo
Mbadilishie kwenye familia yako, awe anawanini kabisa!!Zamani angerusha Ngumi na kutukana hadharani kuonesha hasira zake lakin Sasa kanyooka anaishia kugeuza kifua chake bango la kuonesha hisia zake!
Katiba ibadilishwe Magu aongezewe Muda maana Sasa mpaka wavuta bhangi akili zinarudi Kichwani
Pole kajipange upya!?Uchochezi na uongo
Hosp nilisoma mahala ni risasi 5 tu chadema walimmiminia..
Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Pole kajipange upya!?
Inakuwaje kama alikuwa mmoja na siraha mbiliVP kam waliomshuti walikuwa wawili
Nahisi wewe ndo mvuta bangi wa kwanza kwani jela kwa mtoto wa kiume unaogopa ? Pili kamuongezee muda we kwenye familia yako usituchoshe...Zamani angerusha Ngumi na kutukana hadharani kuonesha hasira zake lakin Sasa kanyooka anaishia kugeuza kifua chake bango la kuonesha hisia zake!
Katiba ibadilishwe Magu aongezewe Muda maana Sasa mpaka wavuta bhangi akili zinarudi Kichwani
Na Je kama alikuwa mmoja na magazine mbili iyo interval ilitoka wapi?Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
BIASHARA!Toka chadema ianze kampeini za kuvaa matisheti kwa anayenunua kila version atakuwa kajaza sanduku
HahahahaZamani angerusha Ngumi na kutukana hadharani kuonesha hasira zake lakin Sasa kanyooka anaishia kugeuza kifua chake bango la kuonesha hisia zake!
Katiba ibadilishwe Magu aongezewe Muda maana Sasa mpaka wavuta bhangi akili zinarudi Kichwani
UwiiiNgoja aendelee kunyea debe!