Kwani washambulizi walikuwa wangapi? Walitumia bunduki ngapi?Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
VP kam waliomshuti walikuwa wawiliKama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Me and u hatujui mkuu ila kwa knowledge kidogo ya criminology na intelligence kuna blanks zinahitajika kua filledKwani washambulizi walikuwa wangapi? Walitumia bunduki ngapi?
Mkuu, kwa wataalamu kabisa wa hayo mambo sitaki kuelezea sana ila ukienda kwenye crime scene, ni rahisi kugundua kwa kumuangalia victim kama shooters walikua wangapi, walikua wanashoot from which angle na kama walikua left or right handed. Am just saying thou.VP kam waliomshuti walikuwa wawili
HahahahToka chadema ianze kampeini za kuvaa matisheti kwa anayenunua kila version atakuwa kajaza sanduku
Kwani alikuwa mmoja?Kama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Kwani mtu anatakiwa awe na nguo ngapi?Toka chadema ianze kampeini za kuvaa matisheti kwa anayenunua kila version atakuwa kajaza sanduku
HahahKwani mtu anatakiwa awe na nguo ngapi?
Ngoja aendelee kunyea debe!
Na pia palikua pakitokea mgogoro miaka hiyo ya 198p, wanawake ndo walikuaga wanawamwagia maji ya moto waume zao, sasa wanawake wa 2017 wanatumia fire gun kushoot waume zao au kuteka, kuwatesa kuwatosa baharini!Miaka ya 1980 wake zetu walikuwa wakivaa Kanga zenye. Mipasho kwa maadui zetu!
2018 Wanaume wameiga kwa kuvaa T shirt zenye Mafumbo
Maganda 30 ya smg bullets na maganda 8 ya 9mm callibre hand gun.Me and u hatujui mkuu ila kwa knowledge kidogo ya criminology na intelligence kuna blanks zinahitajika kua filled
umefikiri kama alikua mmoja na siraha moja, we kichwa sanaKama magazine moja ina ingiza 30bullets. It means jamaa waliomshoot lissu walipiga magazine nzima halafu wakareload wakampiga tena nane. Tukiangalia na time interval......
Fill mwenyewe hizo blanks.Me and u hatujui mkuu ila kwa knowledge kidogo ya criminology na intelligence kuna blanks zinahitajika kua filled
Mungu mkubwaMaganda 30 ya smg bullets na maganda 8 ya 9mm callibre hand gun.
Umeelewa sasa.
Mtu ali empty magazine nzima, akaona haitoshi....akatoa bastola na kumalizia risasi pia.
Bado zilizompata ni 16 tu....and still...he survived.