Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,835
Ndio yenyewe hiyo ....!!
Hapana, siyo yenyewe hiyo!!
Ndio yenyewe hiyo ....!!
una umri gani mkuu? na demu ana umri gani?
hahahaha ungemuomba tigo
umesema anakwambia yupooo.......ha ha ha ha yupooo.........
ila pole kwa yaliyokukuta
Hataki, ni nini ambacho huelewi hapo? Unamwona mtoto kwasababu amekunyima?
its seems unamapenzi ya kitoto na hampo wazi ... game inakuwa ya kushtukizwa tembea na salama tu
read between lines, utaelewa ilikua planned!
Hapana, siyo yenyewe hiyo!!
Mkuu hata ukikamulia tomato ile ya chips mtu anaingia chaka. Njia hii hutumiwa na wezi waliokubu!Damu?tena baada ya mwaka,huyo mwizi mzoefu
Umependa wewe yeye hakupendi hata chembe!