okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Hellow guys
Life limenifundisha vitu viwili, moja ni ku-stay in my financial lane as well as in my dating lane
Mwanaume utakuta sio handsome, maybe kwenye scale ya uhandsome yeye ana-rank 4/10, half anamtaka mdada mrembo sana ambae kwenye scale ya uzuri ana-rank 8/10 hlf mwanaume hana hata mpunga mwingi wa ku-back up ugliness yake hapo lazma shida iwepo, demu mzur ata-date na a man aliye na sura mbaya only when she can't find anything better, akipata smthing better sura nyani anapigwa nje
Mdada utakuta level zake ni ku-date na wanaume wa tandale, lkn utakuta ana aim high class men wakati she has almost nothing to put on the table for eg. beauty, career, business, little bit of fame, connections etc hapo lazma shida iwepo
Ninachotaka kusema ni kwamba huwezi kumiliki BMW wakati uwezo wako ni wa kumiliki vitz the same thing applies in relationships coz relationships and business has many things in common.
Mm personally handsomeness level yangu ni 5/10, so sijihangahishi na mademu wa kutaftia sifa mtaani, mm na-date na demu ambae naona she feels lucky to have me, as long as napata s** na almost stress free relationship maisha yanaenda.
Finally unaweza kuoana na mwenza wa ndoto yako, I mean you both extremely love each other at the same rate..kama una love luck, au unaweza olewa/oa na tajiri/king au a very beautiful/very handsome partner of ur dreams but it rarely happens..
Samahani kwa niliowakwaza....
Life limenifundisha vitu viwili, moja ni ku-stay in my financial lane as well as in my dating lane
Mwanaume utakuta sio handsome, maybe kwenye scale ya uhandsome yeye ana-rank 4/10, half anamtaka mdada mrembo sana ambae kwenye scale ya uzuri ana-rank 8/10 hlf mwanaume hana hata mpunga mwingi wa ku-back up ugliness yake hapo lazma shida iwepo, demu mzur ata-date na a man aliye na sura mbaya only when she can't find anything better, akipata smthing better sura nyani anapigwa nje
Mdada utakuta level zake ni ku-date na wanaume wa tandale, lkn utakuta ana aim high class men wakati she has almost nothing to put on the table for eg. beauty, career, business, little bit of fame, connections etc hapo lazma shida iwepo
Ninachotaka kusema ni kwamba huwezi kumiliki BMW wakati uwezo wako ni wa kumiliki vitz the same thing applies in relationships coz relationships and business has many things in common.
Mm personally handsomeness level yangu ni 5/10, so sijihangahishi na mademu wa kutaftia sifa mtaani, mm na-date na demu ambae naona she feels lucky to have me, as long as napata s** na almost stress free relationship maisha yanaenda.
Finally unaweza kuoana na mwenza wa ndoto yako, I mean you both extremely love each other at the same rate..kama una love luck, au unaweza olewa/oa na tajiri/king au a very beautiful/very handsome partner of ur dreams but it rarely happens..
Samahani kwa niliowakwaza....