ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 1,362
- 2,000
Wazo zuri nitapakua na nitalipa pia tupeane support
Asante mkuuSoma kitabu cha Mashimo ya mfalme Suleiman ndani ya hii app. Ni kitabu cha bure kabisa. Ingia kwenye link iliyo post No 1 uinstall app.
View attachment 1746398
Hapana, hii ipo kama kindle. Unasoma humohumo na unasoma hata ukiwa offline.Asante mkuu
Swali: siwezi download alafu nisave kwa simu/kompyuta yangu?
Soma kitabu cha Mashimo ya mfalme Suleiman ndani ya hii app. Ni kitabu cha bure kabisa. Ingia kwenye link iliyo post No 1 uinstall app.
View attachment 1746398
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us