Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #21
Toa hoja
Umeandika upumbavu nakupuuza
Umeandika upumbavu nakupuuza
inaweza ukawa unafurahisha watu lakini kumbe unajitengenezea moyo wenye chuki kwako na kizazi chako.
Wakati wengine tuko hku mlali Sahv tunazisakaKawe Alumni hivi kwanini mnahangaika hivi?
Huu muda kuchokonoa haya yote si ungeutumia kufanya kitu cha kukuingizia kipato au kama umeridhika na ulivyonavyo hutaki ziada sio ungeutumia hata kusoma biblia au juzuu au kama navyo hutaki si hata ungetumia kusoma kitabu cha hadithi ukaongeza kitu kichwani?
Kwanini mnaigeuza hii kama ishu ya kitaifa, Kweli Taifa halina kabisa ishu za kudiskasi zaidi ya hii? Siku 2-3 za mwanzo zilishatosha hebu tuendelee na mangine basi jamani.
Wengine ambao hatuna vyama tunasikitika sana. Hili swala linaonesha chuki ilivyoanza kujikita moyoni mwa waTanzania aisee. Kama alianguka au alikanyagwa, imeshaisha hiyo. Si polisi na spika wameshasema alikuwa kalewa na alikuwa na mwanamke usiku wa manane, basi sasa ridhikeni tujadili ya maana basi. Hivi hata bajeti iliyotangazwa majuzi una muda wa kuichambua kama unavyochambua tukio la Mbowe kuanguka sijui kukanyagwa?
Na hawa madokta wetu wa siku hizi tabu sana. Bila amri ya mahakama unatoaje details za mgonjwa kiasi hiki? Hivi siku wahindi wale wa Apolo nao wakiamua wakatawanya madocuments ya kuumwa na kulazwa hadi gharama za spika alizotibiwa India itakuwa sawa kweli? Tuacheni siasa kwenye kila kitu.
Niko hapa naamini madocument waliyojenga serikali ya CCM na ma-lunatics wake?
Wakati wengine tuko hku mlali Sahv tunazisaka
Wengine kutwa wapo wanaumiza vichwa sjui mbowe nkya.......
Lkn huwez jua Labda wanaishi kwa style hiyoo wanaingiza nao
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi sina chuki na Mbowe personally namkubali ni mwanasiasa mzuri ila anamapungufu yake pia
Kilikuwa na ulazima gani kuichafua serkali ?
Kwanini asingetulia atibiwe kimya kimya ?
Kunywa pombe si dhambi sawa Kwanini watu wake waisingizie serkali ?
Mtajua wenyewe
Naona mjinga uko busy kujaza comment uzi wako!.Mbowe hii tabia utaacha lini?
Maelezo ya mgonjwa ndiyo huchukuliwaMbona hapo kwenye Clinical Indications panaenda kinyume na police report.
Was Mbowe assaulted and got hit or just fell kama mnavo hubiri?View attachment 1477192
Hiyo ni before police findings mtu anaweza akafumaniwa akadundwa baadaye akasema nimeanguka kwa hiyo hii isikupe tabu sanaMbona hapo kwenye Clinical Indications panaenda kinyume na police report.
Was Mbowe assaulted and got hit or just fell kama mnavo hubiri?View attachment 1477192
Umeona like yangu huko?
Nyie wajinga mmetengeneza ripoti yenu feki inayopingana na ile ya polisi jana.
Hapo mnasema alikuwa assaulted, jana polisi wenu walisema alianguka, mna akili ndogo mnashindwa hata ku-copy na ku-paste.
Clinical indications zilichukua Maelezo ya mgonjwa
Duh hatari