mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Iko kwenye damuMbowe hii tabia utaacha lini?
Iko kwenye damuMbowe hii tabia utaacha lini?
Mlianza kwa kudanganya umma, acheni ukweli uwekwe wazi mjifunze kuwa na staara mkuu, hakukuwa na haja ya kusingizia serikali, inajenga chuki, wangeeeleza ukweli watu wangemtakia quick recovery yakaisha.
Hilo lawezekana lakini si rahisi kwa utawala huu ambao bwana mkubwa anaonesha chuki za wazi kwa wote wenye kuunga mkono wapinzani wake kisiasa.You have idea lkn doctor anaweza kurubuniwa na mwanasiasa kwa manufaa ya mwanasiasa
Niko hapa naamini madocument waliyojenga serikali ya CCM na ma-lunatics wake?
Tangu lini serikali ya ccm ikaaminika kwa chochote?
No one will believe anything this government says on anything!
Killers
Nyie ndio mnaodanganya umma, muache ujinga.Mlianza kwa kudanganya umma, acheni ukweli uwekwe wazi mjifunze kuwa na staara mkuu, hakukuwa na haja ya kusingizia serikali, inajenga chuki, wangeeeleza ukweli watu wangemtakia quick recovery yakaisha.
Mbowe hii tabia utaacha lini?
Mlianza kwa kudanganya umma, acheni ukweli uwekwe wazi mjifunze kuwa na staara mkuu, hakukuwa na haja ya kusingizia serikali, inajenga chuki, wangeeeleza ukweli watu wangemtakia quick recovery yakaisha.
Kwahiyo hakupimwa pombe?
Hilo lawezekana lakini si rahisi kwa utawala huu ambao bwana mkubwa anaonesha chuki za wazi kwa wote wenye kuunga mkono wapinzani wake kisiasa.
Hata hivyo, bado kuna room ya more medical exams kufanyika hata kwa amri ya mahakama ikibidi.
Dokta gani anatoa siri za Mgonjwa?
Ushahidi ni dhahiri aliteguka na si kwa kupigwa.
Kuhusu pombe polisi ilishasema
Kuna vitu haviko sawa mahali...
Polisi Muroto alisema kavunjwa mguu
Spika kavunjwa mguu
Daktari akasema kavunjika
Juzi kafanyiwa Operesheni.
Leo hakuvunjika
Hapo ni tatizo pia
Wapi amesema sio pombe? hujui kilichoandikwa sema uelezewe, ripoti hapo inaonesha usanii wa hali ya juu wa watu wenu, mguu haujavunjika wala kuteguka, ni maumivu ya kawaida ya ankle aloyapata baada ya kuukanyagia vibaya sababu ya hali alokuwa nayo ya ulevi na si kingine.Wewe hii tabia ya uzushi utaacha lini?
Kwa siku mbili ilikuwa pombe
Leo sio pombe kama sio upumbavu nini
1. Polisi Walimpima?
2. Au ripoti ya daktari imeonesha ulevi sehemu yoyote?
3. Kati ya polisi na daktari nani huthibitisha matatizo ya mgonjwa?
polisi? Kama ndio kwanini PF3 muhimu? Na nani huthibitisha ndani ya PF3