ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,422
- 1,849
Pamoja na yoooote hayo lazima tukubali kwamba KWA KWELI sisi Waafrika tuna roho mbaya, ni wanafiki, na tunajipenda sisi tu na wanafamilia au wanaukoo wa karibu au watu wa kabila au eneo letu tu. Kumpata Mwafrika kama Nyerere au Mandela leo hii hapa Afrika ni SHIIIIDA !! Na sioni mabadiliko yoyote mema huko mbeleni. Viongozi wanataka waendelee kutawala wao tu na wale wanaowalamba miguu. Hawataki kushirikisha wananchi wengine. Ndio maana nchi nyingi Afrika ni fujo tu. Tanzania tuna bahati- lakini kwa jinsi tunavyoenda sasa hivi sio miaka mingi itapita na sisi tutatumbukia mumo humo KAMA HATUJAKUBALI KUBADILIKA. Tusubiri



