Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

senior and jf expert member ha ha ha ha
Sawa expert members, I guess hata comments mnazotoa ziko at expert level of self actualization. Big up experts.
#me as a senior member nakubali uko juu mkuu
#NONSENSE
 
Sawa expert members, I guess hata comments mnazotoa ziko at expert level of self actualization. Big up experts.
#me as a senior member nakubali uko juu mkuu
#NONSENSE
wana-force beef mseleleko haaaaa tumewakwepa wamebaki masononeko haaa wanamcheka

Young boys from Facebook bwana ha ha ha #senior
 
Punguza umama mkuu huyo mwanamke hafai hata kuwa jirani yako.
 
Na huu ndio ukweli ambao amefisha "kila mwamba ngoma huvutia kwake story yake anaonesha ana mapungufu so bibie kajiongeza.
watu wanapenda sana kuconclude na one side story,,,,,,,maswali ni mengi ya kujiuuliza hivi kwelii mwanamke akukebee mimba alaf akatae kwenda kutambulishwa!!!!!!kwa upande wa kutoka hospital unazijua mila za kwao,,,,,,,maana kuna makabila mengine uzazi wa kwanza lazima aende kwao ,,,,,,wakati unaishi naye mahusiano yako na yeye yalikuaje au ndo ulikuwa na list ya vichenchede ,,,,,,,,,wazazi wako wanamahusiano ya aina gani na mzazi mwenzio????????????? na mahusiano yako na wazazi wa mzazi mwenzio yakoje????wewe ukijisize up unaona unafaa ????
 
Hapo wamefanya kosa walitakiwa kufahamisha familia kwamba mtoto wetu akijifungua salama atalejea nyumbani ila mtoa mada asijione ana haki ya kuiamulia hiyo familia kisa tu ametotoa na huyo bibie ndoa ndio ingemtambulisha vizuri
Hiyo familia inaonekana ina matatizo tuu, hawana utu wala shukrani.
 
watu wanapenda sana kuconclude na one side story,,,,,,,maswali ni mengi ya kujiuuliza hivi kwelii mwanamke akukebee mimba alaf akatae kwenda kutambulishwa!!!!!!kwa upande wa kutoka hospital unazijua mila za kwao,,,,,,,maana kuna makabila mengine uzazi wa kwanza lazima aende kwao ,,,,,,wakati unaishi naye mahusiano yako na yeye yalikuaje au ndo ulikuwa na list ya vichenchede ,,,,,,,,,wazazi wako wanamahusiano ya aina gani na mzazi mwenzio????????????? na mahusiano yako na wazazi wa mzazi mwenzio yakoje????wewe ukijisize up unaona unafaa ????
Ki itifaki Uzazi wa kwanza anatakiwa ale kwa wakwe zake wewe, usikubali mkeo mtoto wa kwanza akajifungulie kwao.
 
Wewe jamaa una mtindio wa ubongo sio bure yaani kila nilipokuwa naendelea kuusoma ujumbe wako nilitamani nimalize haraka nikutukane,inawezekana kweli una elements za ushoga ndy maana huyo mwanamke alikutukana hivyo huwezi kuendelea kuhangahika na mwanamke kwa yote aliyoyafanya unless otherwise uwe punga

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanamke angekula jeuri yake kubambikirisi!!
 
Mkuu binti ambaye hujamuona tena umeikosea adabu familia kwa kumzalisha binti yao una kauli nae wazazi wakitaka kumchukua binti yao hospital. Naomba comment yangu usijibu kiushabiki.
Mie kama walimkataa akiwa na ujauzito na sababu za kukataa kichwa kibovu cha binti yao, aki jifungua hata mguu wasirushe pale.
Huyo binti akiforce kwenda bila ruksa yangu atajuta.
 
watu wanapenda sana kuconclude na one side story,,,,,,,maswali ni mengi ya kujiuuliza hivi kwelii mwanamke akukebee mimba alaf akatae kwenda kutambulishwa!!!!!!kwa upande wa kutoka hospital unazijua mila za kwao,,,,,,,maana kuna makabila mengine uzazi wa kwanza lazima aende kwao ,,,,,,wakati unaishi naye mahusiano yako na yeye yalikuaje au ndo ulikuwa na list ya vichenchede ,,,,,,,,,wazazi wako wanamahusiano ya aina gani na mzazi mwenzio????????????? na mahusiano yako na wazazi wa mzazi mwenzio yakoje????wewe ukijisize up unaona unafaa ????
Tuna tatizo mtu anachangia mada kwa kuangalia jinsia haingalii mada kwa undani hongera kwa kuyabaini baadhi ya mapungufu katika hii mada.
 
Nikiwa kama mama na nina watoto wa kiume nakushauri hivi;
  1. Fanya hima upime DNA kuna uwezekano mkubwa kuwa huyo sio mtoto wako na binti anakutumia kama toilet paper (nadhani unajua matumizi yake).
  2. Ukigundua mtoto sio wako ACHA HIYO MWANAMKE TENA MBELE ZA WATU (usimuache kwa kificho). Hakikisha pia wazazi wake wapo wakaati wa tukio hilo.
  3. Kama mtoto ni wako, ita kikao cha familia yako na yake, weka wazi kwamba hutomuoa huyo binti bali mtatunza tu mtoto.
NASISITIZA TENA NA TENA KAMA NI MWANAO TUNZA MTOTO TU HUYO BINTI ACHANA NAE.

Nimemaliza.
 
Mie kama walimkataa akiwa na ujauzito na sababu za kukataa kichwa kibovu cha binti yao, aki jifungua hata mguu wasirushe pale.
Huyo binti akiforce kwenda bila ruksa yangu atajuta.
Kuna utofauti mkubwa wa binti uliyemuoa na wa Sogea tuishi huyo hakufunga nae ndoa hana amali kwa wazazi wa huyo binti.
 
duuuuu
Nikiwa kama mama na nina watoto wa kiume nakushauri hivi;
  1. Fanya hima upime DNA kuna uwezekano mkubwa kuwa huyo sio mtoto wako na binti anakutumia kama toilet paper (nadhani unajua matumizi yake).
  2. Ukigundua mtoto sio wako ACHA HIYO MWANAMKE TENA MBELE ZA WATU (usimuache kwa kificho). Hakikisha pia wazazi wake wapo wakaati wa tukio hilo.
  3. Kama mtoto ni wako, ita kikao cha familia yako na yake, weka wazi kwamba hutomuoa huyo binti bali mtatunza tu mtoto.
NASISITIZA TENA NA TENA KAMA NI MWANAO TUNZA MTOTO TU HUYO BINTI ACHANA NAE.

Nimemaliza.
samahani lakin wewe n mama kweli ???yaan mama kweli au 😡 😡 😡 😡 😡
 
Back
Top Bottom