hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,622
- 74,008
nope kuna situation ikifika .... inahitaji ushirikiano na kuonyesha ubinaadamu....haiwezekani wazazi wangu wamtunze mtoto wenu ..kisha mje mumchukue tu mtoto wenu bila ya kuonana hata na wazazi wangu as if wao walikuwa ni watu baki.....kama binti angekufa mikononi mwao hao wazazi wake wasingefika kwa wazazi wa mtoa mada ?Mkuu binti ambaye hujamuona tena umeikosea adabu familia kwa kumzalisha binti yao una kauli nae wazazi wakitaka kumchukua binti yao hospital. Naomba comment yangu usijibu kiushabiki.